superchager turubo
Senior Member
- Aug 12, 2023
- 177
- 305
cc girls na chamdeko
Ukweni unapaswa kukaa kimachale,kusoma mazingira kila dakika uliyopo na kuwa mpole.Tabia za nyumbani kwako unapaswa kuziacha mlangoni kwako ulipotoka kwa kusafiri.Kasema ugenini au ukweni....navojua ukweni kwa mwanaume sio sehemu ya kupazoea saana hata kama panakuwa kama kwenu labda kwenye makabila ya huko pwani ila kwa kina TATA mmh
Ukishakua na pesa kauli zinabadilikaLa muhimu si mgeni kuwa na mapesa.Hayo ni yake.Anapaswa kuwa mtulivu,muangalifu,achague maneno ya kuongea na kujibu bila kusahau kutii mamlaka ya "nchi" aliyofikia ugenini.
Uko kama mimi nawakubali sana Watumishi hao wa Mungu Bulldozer (Boniface Mwamposa) pamoja na Babalao (Kuhani na Mwl Musa Richard Mwacha) hapo huwezi kunibandua ng"oooooooo !!hii imenipa shida sana mpaka nimeambiwa nina mapepo
BarikiwaUko kama mimi nawakubali sana Watumishi hao wa Mungu Bulldozer (Boniface Mwamposa) pamoja na Babalao (Kuhani na Mwl Musa Richard Mwacha) hapo huwezi kunibandua ng"oooooooo !!