Usithubutu kuanzisha mahusiano na mwanamke mjinga

Usithubutu kuanzisha mahusiano na mwanamke mjinga

Ndio maana wengi wao wamewazaa nyinyi[emoji1787][emoji1787]
Wamemzaa mtoa mada mjinga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu mbumbumbu inamaanisha nini?

Muongozo tafadhali mmeniacha nyuma.
Daby upo kipenzi? Laiti kaka yako angetumia maneno ya mwelevu hapo asi ningedoda nduguyo!! Hata wa kunitia kidole nisingepata.
Ushauri wangu tu, wanaume wa JF muwe na kiasi.
 
Hizo point zote ni za kweli nina uzoefu..wa maswala hayo...
 
Habari wanaJf. Ndugu zangu wana Jf na kwa vijana wenzangu ambao hamjaoa au mnaelekea kufunga pingu za maisha au bado mpo kwenye mchakato wa kutafuta mpenzi/ mchumba. Usijaribu kuanzisha uhusiano na wanawake wafuatao:

1. Mwanamke mpumbavu/ mbumbumbu.

2. Mwanamke aliyeachika/ mtalakiwa/ Single mother.

3. Mwanamke ambaye hana elimu.

Ukiangukia katika makundi hayo utateseka maisha yako yote.
ELIMU IPI NDUGU YA DARASANI AMA IPI?? AFADHALI YA MWANAMKE MWENYE HEKIMA NA BUSARA KULIKO MWENYE ELIMU MGOMVI KAMA SI MKOROFI, OMBA UPATIWE MWANAMKE MWENYE HEKIMA SI ELIMU, HEKIMA HAINUNULIA WALA HAISOMEWI, HEKIMA MTU HUZALIWA NAZO PAMOJA NA MAARIFA.
 
Habari wanaJf. Ndugu zangu wana Jf na kwa vijana wenzangu ambao hamjaoa au mnaelekea kufunga pingu za maisha au bado mpo kwenye mchakato wa kutafuta mpenzi/ mchumba. Usijaribu kuanzisha uhusiano na wanawake wafuatao:

1. Mwanamke mpumbavu/ mbumbumbu.

2. Mwanamke aliyeachika/ mtalakiwa/ Single mother.

3. Mwanamke ambaye hana elimu.

Ukiangukia katika makundi hayo utateseka maisha yako yote.
Hili kweli..
 
Back
Top Bottom