Usithubutu kuanzisha mahusiano na mwanamke mjinga

Usithubutu kuanzisha mahusiano na mwanamke mjinga

Halafu mara nyingi watoto huchukua akili za mama zao !

Kwa hiyo ukizaa na kulaza tarajia watoto vilaza
 
1 [emoji818]
2. Inategemeana.
3. elimu ya darasani sio tatizo, tatizo ni akili za kuzaliwa.
Ongeza 4.
Mwanamke asiyeona mbele, yani anashindwa kutumia matukio yaliyopo kujua yataleta madhara gani mbele. Huyo ni wa kumkimbia kama ukoma.
 
Duuh...yaaani kwa mfano hai hapa jukwaani ni nani ni mbumbumbu mkuu niweze kuelewa vizuri?
Ahaaa haaa chagua mmoja, wapo wengi tuu kutokana na kuandika kwao. Yani mtu kwa uandishi wake tuu unajua huyu ni mbumbumbu.
 
Nimefarijika sana na hii mada,wanawake wajinga ni wa kuogopa
 
Habari wanaJf. Ndugu zangu wana Jf na kwa vijana wenzangu ambao hamjaoa au mnaelekea kufunga pingu za maisha au bado mpo kwenye mchakato wa kutafuta mpenzi/ mchumba. Usijaribu kuanzisha uhusiano na wanawake wafuatao:

1. Mwanamke mpumbavu/ mbumbumbu.

2. Mwanamke aliyeachika/ mtalakiwa/ Single mother.

3. Mwanamke ambaye hana elimu.

Ukiangukia katika makundi hayo utateseka maisha yako yote.
Mkuu hapo unazungumzia elimu gani maan mama zetu wengi hapa hawajasoma
 
awe mfupi halafu kibonge ka mtungi wa gas ya Oryx. mda wote anaona anadharauliwa

Ninae mmoja mfupi afu mpenda dini, ananitaftaga tu akiwa na njaa, akishiba ata sms hakutumii siku nzima
 
Mkuu hapo unazungumzia elimu gani maan mama zetu wengi hapa hawajasoma
Mkuu, ukiwa umesoma naomba oa mwanamke wa kufanana na wewe. Namaanisha nae awe na elimu. Ndege wafananao huruka pamoja.
 
Kwel kbs, wanaume weng tunakwepa majukumu et oh nahtaj mwanamke wa kusaidiana nae maisha afanye kaz, mwanaume kaml hakimbii majukumu
Niliweka malengo kuwa sioi mtu ili aje aniongezee kipato;bali naoa mtu atakayenipa familia na kunifariji pale nitakapokuwa na magumu,kama vile ugonjwa,miangaiko au mikasa ya dunia.
 
Back
Top Bottom