gazeti hili linalenga kuwafahamisha wananchi kuhusu maamuzi yanayofanywa na serikali, kwa nini liuzwe wakati wananchi wanalipa kodi? Lichapwe kwa wingi na ligawiwe vijiji vyote, achilia mbali kwenye maduka ya serikali. Kuanza kuliuza ni kuwatenga wananchi wengine ambao nao wana haki ya kujua serikali yao imefanya nini. kwani serikali si ilishasema imeachana na biashara?!?