Usiri wa Serikali-Government Gazette: Make it Public!

mkuu inaonyesha hulifahamu gazeti la serikali ndio maana unaweza kutoa ushauri wa kuligawa bure kwa wananchi lakin nakuhakikishia hata kwa baadhi yetu ukipewa halitakusaidia sana kwa sababu information zilizoko ziko specific na kwa watu specific.

wewe kama unataka kujua nini kipo kwenye government gazzette (mfano sheria fulani basi unamtafuta mwanasheria anakuelza)

gazeti hili linalenga kuwafahamisha wananchi kuhusu maamuzi yanayofanywa na serikali, kwa nini liuzwe wakati wananchi wanalipa kodi? Lichapwe kwa wingi na ligawiwe vijiji vyote, achilia mbali kwenye maduka ya serikali. Kuanza kuliuza ni kuwatenga wananchi wengine ambao nao wana haki ya kujua serikali yao imefanya nini. kwani serikali si ilishasema imeachana na biashara?!?
 
kama unahitaji statutes si uende kwenye website ya bunge kuna very latest statutes zinawekwa pale. kuhusu government gazzette ni lazima mtu utambue kuwa lile ni kwa matumizi ya serikali na wadau wengine muhimu. ni kweli linapatikana kwa shida lakini huwa linatoka kila wiki vipande vipande.

Mkuu ni kweli.. POLIS au Parliament On Line System inasaidia sana kupata hata miswada inayowasilishwa bungeni..POLIS ina data nyingi tu hasa za Bunge na Wabunge na kinachoendelea bungeni ikiwa ni pamoja na michango ya wabunge wawapo in session.. ukitaka kuona how effective ur rep is that is the place to visit...wanaokaa kimyaa miaka yote 5 pia utapata habari zao hapo.Tatizo ni wananchi wangapi wana access to the POLIS au hata information?
 
Ahsante kwa ufafanuzi lakini kama inachapishwa kwa ajili ya watumishi wa serikali na 'wadau wengine muhimu' kwa nini liuzwe katika duka la vitabu ambalo ni public? Nafikiri hata regulations zinazofafanua utekelezaji wa sheria mbali mbali zinakuwemo kwenye GG. I would have thought this should be easily accessible to the public?!
 
Licha ya kwenye maduka ya vitabu vya serikali, gazeti la serikali pia huwa linapatikana kwenye maktaba zote za mkoa, tena hapo unaweza kujisomea matoleo mengi tu mapya na ya zamani upendavyo.
 
kama unahitaji statutes si uende kwenye website ya bunge kuna very latest statutes zinawekwa pale. kuhusu government gazzette ni lazima mtu utambue kuwa lile ni kwa matumizi ya serikali na wadau wengine muhimu. ni kweli linapatikana kwa shida lakini huwa linatoka kila wiki vipande vipande.

Serikali ni Watu!

Mara nyingi watu wengine wameingia matatani kutokana na jambo kuchapwa kwenye "gazeti la Serikali" ambalo hufanywa ni siri na hivyo Wananchi kutokujua haki zao au mipaka ya mambo fulani fulani.
 
Back
Top Bottom