Usiri ajira TISS

Tatizo lao wana peana ajira wao kwa wao ajira za Baba kanituma na kamlete, vijana walio bahatika bila kujulikana ni wale walioingia kipindi cha ajira za ukuta
Na hapo ndio nchi yetu huharibikia.
Hawawezi pata analysists wazuri kwa kupeana kazi.

TISS ambayo wao wanaenda nunua pegasus toka NSO ili wafatilie simu za watu. Badala waunde kitengo kizuri
 
Ndo maana nasema ni ngumu hii nchi kusonga mbele.
Leo hii Wachina wamekuwa machinga
inasikitisha sana, bado kuna ukale wa kizamani kwa walio na nguvu ya kuleta mabadiriko. Vyombo vya ulinzi vimekuwa option kwa walio fail na sio walio faulu.. hii inatoka na vyombo husika kutokuwa na mazingira na motisha nzuri ya kielimu na kimazingira kuvuta vichwa kwenye hizo taasisi.. acha tuhamie burundi
 
Mkuu hao welediupatikanaji wake hautumiki siku hizi.Kwanini usikubali kwamba kuna taratibu zinapindishwa.Kwani tukisema nyerere unakuwa hujaelewa nyerere alikuwa raisi hili nalo tukufafanulie.Unauliza alienda mwenyewe kweli.
Mi naona kuna watu mnachanganya ma informer na watu wa usalama wa taifa. Anyways mengine yanipite ila kwa kazi zinazofanyika hadi wewe unalala usingizi ndani kwako ungeshukuru tu. Acha nikatafute jukwaa la mfumuko wa bei za vyakula ndo linalonihusu.
 
Mi naona kuna watu mnachanganya ma informer na watu wa usalama wa taifa. Anyways mengine yanipite ila kwa kazi zinazofanyika hadi wewe unalala usingizi ndani kwako ungeshukuru tu. Acha nikatafute jukwaa la mfumuko wa bei za vyakula ndo linalonihusu.
Si kweli, hizi lugha za kulala zimepitwa na wakati. Hiyo ndiyo kazi yao kufanya watu walale. Kama ambavyo sisi madreva wa bodaboda tunawabeba wao na jamii yao. Nini kulala, Ukraine kinapigwa muda wote na watu wanalala
 
Si kweli, hizi lugha za kulala zimepitwa na wakati. Hiyo ndiyo kazi yao kufanya watu walale. Kama ambavyo sisi madreva wa bodaboda tunawabeba wao na jamii yao. Nini kulala, Ukraine kinapigwa muda wote na watu wanalala
Kwani chanzo cha ukraine kuingia kwenye mgogoro na russia unakijua? Wala tusiende mbali. We jifanye unaanzisha vugu vugu la kutaka muungano wa znz na Tanganyika uvunjike eti znz ijitegemee ndo utajua. Nani ataruhusu kukaribisha nchi za kiarabu karibu na Tanganyika? We unadhani wakianza kuingia wale sisi tutakua salama?

Ndo maana nakwambia kwenye ground mambo ni magumu mimi na wewe hatuyajui. Kusingekua na informers au wafatiliaji wa chinichini tusingekua hapa saizi
 
Mkuu mbona Kama umechanganya Kati ya FBI na CIA au Mimi ndio sijakuelewa.
 
Mi naona kuna watu mnachanganya ma informer na watu wa usalama wa taifa. Anyways mengine yanipite ila kwa kazi zinazofanyika hadi wewe unalala usingizi ndani kwako ungeshukuru tu. Acha nikatafute jukwaa la mfumuko wa bei za vyakula ndo linalonihusu.
Usiwape umuhimu wasiopaswa pewa
 
Mi naona kuna watu mnachanganya ma informer na watu wa usalama wa taifa. Anyways mengine yanipite ila kwa kazi zinazofanyika hadi wewe unalala usingizi ndani kwako ungeshukuru tu. Acha nikatafute jukwaa la mfumuko wa bei za vyakula ndo linalonihusu.
Hakuna anaepinga tanzania lazima iendelee kuzalisha watu welwdi na wema kwa ulinzi wake wa milele.Naenda jukwaa la matangazo madogo.Mshaanza mikwala.
 
Kwaiyo tungekuwa wapi?
 
Akiingia mmja hata ndugu yake unamkuta na Kama jamaa wa mabaka na ukurya
 
TISS haichukui uvccm Ila TISS ina-recruit vijana Kisha kuwaingiza(baadhi) uvccm..na si kwamba wapo uvccm tu hata upinzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…