Na hapo ccm ndo walipoharibu, kugeuza jambo zito kuwa ukada.Rafiki angu mmoja alianza kama Uvccm mpaka leo nae yupo huko. Hua nampima vitu vidogovidogo tu vya uelewa ila ni mweupe. Uchawa na Ccm ni janga la taifa.
Kila lifanywalo na wakoloni LAZIMA tuliige...Kwanini panakuwa na Usiri katika ajira ndani ya Usalama wa Taifa?
Mbona CIA hutangaza nafasi na watu huomba
Kwanini wasianzishe mchakato wa watu kuomba?View attachment 2471149
Kweli ha ha ha haKila lifanywalo na wakoloni LAZIMA tuliige...
Hili nalo mkalitazame...
Au nasema uongo ndugu zangu?
Wabongo nyokko sanaKweli ha ha ha ha
Rafiki angu mmoja alianza kama Uvccm mpaka leo nae yupo huko. Hua nampima vitu vidogovidogo tu vya uelewa ila ni mweupe. Uchawa na Ccm ni janga la taifa
Watu wanalazimisha namungo iwe kama arsenal.Huwezi kujua wala kuiga kila kitu.Hata hao cia sio wawazi kama tunavyodaanganywa humu, labda kama wanaajiri madereva wa guta.Wabongo nyokko sana
Kwakuwa Wamarekani wanahalalisha ushoga basi inatulazimu nasi tuige
Mkinitukana Chawa wangu hawatawaacha...
Niulize swali.Kwanini panakuwa na Usiri katika ajira ndani ya Usalama wa Taifa?
Mbona CIA hutangaza nafasi na watu huomba
Kwanini wasianzishe mchakato wa watu kuomba?View attachment 2471149
Wale mashoga wa Kahama na Babati wamefundishwa na Wamarekani?Wabongo nyokko sana
Kwakuwa Wamarekani wanahalalisha ushoga basi inatulazimu nasi tuige
Mkinitukana Chawa wangu hawatawaacha...
Rafiki angu mmoja alianza kama Uvccm mpaka leo nae yupo huko. Hua nampima vitu vidogovidogo tu vya uelewa ila ni mweupe. Uchawa na Ccm ni janga la taifa.





daah umesaga kunguni sanaa mkuuSijui kuhusu tiss lakini kwa Tanzania mambo yanayowekwa kuwa siri ujue kuna Upigaji mkubwa ndani yake.Kuna vitu vinafanywa usiri wakati hajikutakiwa kuwa vya siri, na usiri huu unaofanywa unakuta ni terget tu ya kuweka watu wao wanaowataka, na ndo maana tunapata watu wasio na weledi na wenye IQ ndogo sana kiutendaji yawezekana ni mkakati tu wa mtu. Kinachotakiwa watangaze nafasi za kazi watu waombe lakini mchakato wa kuwachukua waliokidhi vigezo ndo ufanyike kwa siri.