Usipozini ujanani utapata Tabu uzeeni

Usipozini ujanani utapata Tabu uzeeni

Tumia vyema ujana wako kwa kuwala type mbali mbali za mademu ili ata ukizeeka usije kujawa na tamaa,

Umepewa nguvu na Akili ya kuweza kumudu kila game sasa kwa nini ujivike ulokole wakati mwili unatamani,

Unajifanya mwema ujanani unakuja kufa uzeeni na dhambi ya Tamaa,

Sawa uzinzi ni dhambi, "sio kwangu" lakini utatubu ukiwa uzeeni tamaa ikishapotea utasamehewa na kufa ukiwa msafi.



CC Zero IQ
Ukisema kuwa nitubu nikiwa mzee alafu Mungu akanichukua ningali kijana, nitafaidikaje?
Tatizo lako umegoma kwenda ibadani kutolewa mapepo yako, sie wengine tunasubiria starehe yetu huko mbinguni ya kuimba na kunywa maziwa na asali.
 
Wadogo zangu “kama huna uhakika wa kutunza mtoto & familia kuwa na discipline katika ujana wako”, watu wasiteseke kwa makosa yetu..Mungu atumiminie subira na kutusimamisha imara
Niliposoma hii, nikajiuliza: ww ni mwandishi wa vitabu?? Mana hii ilitakiwa iwe quote from a book ambacho ni bestseller (take it frm me!)

Nikajiulza km ww ni wakiume au wa kike...afu nikajinenea mm mwenyewe ili nikidh matakwa yangu, nikasema...km ww uleandika hii reaction niwakiume...basi nakuomba umsubir mwanangu akue nkuozeshe

Maneno yko hayaweze kutoka from a cheap, irresponsible piece of sh*t
#Nimei screenshot hii kwa heshma yko mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliposoma hii, nikajiuliza: ww ni mwandishi wa vitabu?? Mana hii ilitakiwa iwe quote from a book ambacho ni bestseller (take it frm me!)

Nikajiulza km ww ni wakiume au wa kike...afu nikajinenea mm mwenyewe ili nikidh matakwa yangu, nikasema...km ww uleandika hii reaction niwakiume...basi nakuomba umsubir mwanangu akue nkuozeshe

Maneno yko hayaweze kutoka from a cheap, irresponsible piece of sh*t
#Nimei screenshot hii kwa heshma yko mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
I appreciate [emoji106]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom