Usipozini ujanani utapata Tabu uzeeni

Usipozini ujanani utapata Tabu uzeeni

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,199
Tumia vyema ujana wako kwa kuwala type mbali mbali za mademu ili ata ukizeeka usije kujawa na tamaa,

Umepewa nguvu na Akili ya kuweza kumudu kila game sasa kwa nini ujivike ulokole wakati mwili unatamani,

Unajifanya mwema ujanani unakuja kufa uzeeni na dhambi ya Tamaa,

Sawa uzinzi ni dhambi, "sio kwangu" lakini utatubu ukiwa uzeeni tamaa ikishapotea utasamehewa na kufa ukiwa msafi.



CC Zero IQ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom