ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Habarini mabestito wangu
Ni mengi tumejifunza na tumefundishwa kwa mwaka huu na mengi tumeyafanyakwa mwaka huu na mengine tumejikuta hatujafanya tokana na matatizo ya hapa na pale.
Marafiki zangu tumejifunza na mmejifunza kwa thread zangu nilizozileta hapa na wengine zimekuwa faraja kwenu na kwangu pia. Kama kuna mahali niliwaboa au kuwaamuzi kwa tredi hizi A'M Sorry (naweka msisitizo hapa) kwani nilikuwa naleta kitu kuwalenga na kuwafundisha wale ambao hawakukaa katika mstari wao.
Marafiki zangu kwanini nimekuja na msemo huu wa: USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA Ni mojawapo ya neno langu la mwisho kwa mwaka huu pale ambapo unaona pamefaa na unaona kuwa pako pazuri kumbe kuna kaufa kananyemelea na kama hujadhibiti basi jua kuwa unadondokewa na ukuta na angalia usije ukakubamizia ukutani usiweze pata hata kahaueni.
Marafiki tukae tukijua kuwa maisha ni safari ndefu na tena maisha yana mwisho wake kama hujajenga mapema katika maisha yako,. au kama hujatafuta mapema katika maisha yako usitegemee kuwa kuna wakati utakuja kufanya kiile ulichotarajia kukifanya,
NENO: MAALUM KWA VIJANA
WAKATI UNASONGA MBELE WALA HAURUDI NYUMA KATIKA WAKATI ULIONAO SASA FANYA PALE ULIPOJIWEKEA KUFANYA USINGOJE KESHO KWANI KESHO ITAJISUMBUKIA KUWA MTU WA KUJITUMA NA WEKA MIKAKATI YAKO KWA WAKATI NA UTEKELEZE KWA WAKATI KAMA UTAWEZA FANYA HIVYO JUA KUWA UKUTA UTAKUDONDOKEA IWE ISIWE NA UTAKUJAJUTA WAKATI ULISHAUCHEZEA
Na ndio maana nimesema USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA hapo sasa utakuwa umeshachelewa na wakati mvua inakunyeshea wala usione UKINGO wa kujisitiri hapo ulipo
Kijana mwenzangu :USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA
Nawatakia sikukuu njema na mwaka mpya mwema 2015
Nawapenda.
Wasalaamu
Ladyf
cc: Mamndenyi, stevoh, ivol, Excel, Passion Lady, charminglady, Lady doctor (HUonekani bestito), Heaven on Earth, sister, miss chagga, KOKUTONA, vivian, kabanga, Erickb52, Arushaone, PakaJimmy, Preta, Fixed Point, Paloma, Mentor, AshaDii, Chachu Ombara, Mtambuzi, Mphamvu, Chabruma, warumi (sijui hawajakupiga ban tena?), mwallu, miss neddy, Munkari, Ntuzu, muuza ubuyu, Young Master, @C6, mshanaJr, Kaizer, Boflo, snowhite, measkron, Mashixizo, gfsonwin, watu8, Maxence Melo, Invisible, Pruner , Jiwe Linaloishi, Kipaji Halisi, na marafiki zangu wote ambao kwa namna moja nimewasahau kuwataja hapa karibuni tujifunze na kuhelimisha
Ni mengi tumejifunza na tumefundishwa kwa mwaka huu na mengi tumeyafanyakwa mwaka huu na mengine tumejikuta hatujafanya tokana na matatizo ya hapa na pale.
Marafiki zangu tumejifunza na mmejifunza kwa thread zangu nilizozileta hapa na wengine zimekuwa faraja kwenu na kwangu pia. Kama kuna mahali niliwaboa au kuwaamuzi kwa tredi hizi A'M Sorry (naweka msisitizo hapa) kwani nilikuwa naleta kitu kuwalenga na kuwafundisha wale ambao hawakukaa katika mstari wao.
Marafiki zangu kwanini nimekuja na msemo huu wa: USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA Ni mojawapo ya neno langu la mwisho kwa mwaka huu pale ambapo unaona pamefaa na unaona kuwa pako pazuri kumbe kuna kaufa kananyemelea na kama hujadhibiti basi jua kuwa unadondokewa na ukuta na angalia usije ukakubamizia ukutani usiweze pata hata kahaueni.
Marafiki tukae tukijua kuwa maisha ni safari ndefu na tena maisha yana mwisho wake kama hujajenga mapema katika maisha yako,. au kama hujatafuta mapema katika maisha yako usitegemee kuwa kuna wakati utakuja kufanya kiile ulichotarajia kukifanya,
NENO: MAALUM KWA VIJANA
WAKATI UNASONGA MBELE WALA HAURUDI NYUMA KATIKA WAKATI ULIONAO SASA FANYA PALE ULIPOJIWEKEA KUFANYA USINGOJE KESHO KWANI KESHO ITAJISUMBUKIA KUWA MTU WA KUJITUMA NA WEKA MIKAKATI YAKO KWA WAKATI NA UTEKELEZE KWA WAKATI KAMA UTAWEZA FANYA HIVYO JUA KUWA UKUTA UTAKUDONDOKEA IWE ISIWE NA UTAKUJAJUTA WAKATI ULISHAUCHEZEA
Na ndio maana nimesema USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA hapo sasa utakuwa umeshachelewa na wakati mvua inakunyeshea wala usione UKINGO wa kujisitiri hapo ulipo
Kijana mwenzangu :USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA
Nawatakia sikukuu njema na mwaka mpya mwema 2015
Nawapenda.
Wasalaamu
Ladyf
cc: Mamndenyi, stevoh, ivol, Excel, Passion Lady, charminglady, Lady doctor (HUonekani bestito), Heaven on Earth, sister, miss chagga, KOKUTONA, vivian, kabanga, Erickb52, Arushaone, PakaJimmy, Preta, Fixed Point, Paloma, Mentor, AshaDii, Chachu Ombara, Mtambuzi, Mphamvu, Chabruma, warumi (sijui hawajakupiga ban tena?), mwallu, miss neddy, Munkari, Ntuzu, muuza ubuyu, Young Master, @C6, mshanaJr, Kaizer, Boflo, snowhite, measkron, Mashixizo, gfsonwin, watu8, Maxence Melo, Invisible, Pruner , Jiwe Linaloishi, Kipaji Halisi, na marafiki zangu wote ambao kwa namna moja nimewasahau kuwataja hapa karibuni tujifunze na kuhelimisha