Usiposoma A-level ni shida chuo kikuu!

Usiposoma A-level ni shida chuo kikuu!

kipusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2015
Posts
443
Reaction score
75
Daaa, kweli A-level ndo kila kitu lecture yuko fasta anaamin wote ni wametoka f6 ni shida kwa waliotokea f4 afu cheti afu diploma kwa michipuo ya science.
 
Ni kweli kipusi, shule ya University kama hujapitia A.Level utatumia msuri sana.
 
Last edited by a moderator:
mijadala ya BRN ukimpa mtihani akeshe nao kesho ataingia na majibu kwenye paja hovyooo
 
daaa kweli A-level ndo kila kitu lecture yuko fasta anaamin wote ni wametoka f6 ni shida kwa waliotokea f4 afu cheti afu diploma kwa michipuo ya science.
Kweli naamini ni shida kwa wale waliopita mkato; form iv-college-university kama wewe kabisa uliyepita form vi unaandika kama mtoto wa chekechea tena kiswahili tu kimekupa shida lugha ya malkia wa uzunguni itakuwaje sasa?
NB. Ni lecturer na si lecture kwa kile ulichokusudia kuandika.
 
ndio muwaambie wadogo zenu wakazanie masomo
 
Ukikua utaacha hiv ww unaenza degree umetoka form six na anaenza degree alietoka diploma na form 4 yake Nan walau ana idea ya hyo degree... Afu mwenzio unawezakuta baadhi ya masomo hasomi mwaka kwanza... Alishoma akiwa diploma..
 
Hivi hii elimu ya BRN unaweza na ww ukatamba mbele ya watu umesoma form VI???

Stupid.
 
UKIKUWA UTAACHA, WALIOUNGANISHA MARA ZOTE, NI KAMA WANARUDIA MASOMO KWA SABABU WALISHAVISOMA KWENYE DIPLOMA NA CERTIFICATE, TENA WANA EXPERIENCE wameenda field mara nyingi kwahiyo anachosoma ashakifanyia kazi pia ashakisoma wakati wa dip, TATIZO LAKO UNATAKA KUJIONYESHA NDO MSOMI WA KWANZA KUFIKA FVI, TANZANIA NZIMA, AU KIJIJINI KWENU WEWE NI WA KWANZA KUFIKA FVI?,
 
Sis kwenye shirika letu kuanzia CEO, wengi wa wakurugenzi, Managers, wakuu wa idara, Engineers wengi walitoka form IV technical schools, then chuo FTC/Diploma then University na hapa wengi vichwan ni bright tofauti na waliosoma form V&VI
 
daaa kweli A-level ndo kila kitu lecture yuko fasta anaamin wote ni wametoka f6 ni shida kwa waliotokea f4 afu cheti afu diploma kwa michipuo ya science.
kweli wewe ni PUSSCAT kuandika hujui wala unnacho andika ni ujinga ujinga tu
 
UKIKUWA UTAACHA, WALIOUNGANISHA MARA ZOTE, NI KAMA WANARUDIA MASOMO KWA SABABU WALISHAVISOMA KWENYE DIPLOMA NA CERTIFICATE, TENA WANA EXPERIENCE wameenda field mara nyingi kwahiyo anachosoma ashakifanyia kazi pia ashakisoma wakati wa dip, TATIZO LAKO UNATAKA KUJIONYESHA NDO MSOMI WA KWANZA KUFIKA FVI, TANZANIA NZIMA, AU KIJIJINI KWENU WEWE NI WA KWANZA KUFIKA FVI?,

sio kozi zote wamesoma cheti na diploma
 
teh teh teh...div. V zipo chuoni.

Mkuu hujui system ya Elimu bongo au unahara jara hapa?

Unajua wanaosoma diploma katika vyuo vya DIT, MUST, ATC walifaulu vip form IV??

Au na hili mpk uwekewe ubao na chaki ndo utaelewa?
 
daaa kweli A-level ndo kila kitu lecture yuko fasta anaamin wote ni wametoka f6 ni shida kwa waliotokea f4 afu cheti afu diploma kwa michipuo ya science.

Nini tofauti ya A level na certificate + diploma mleta mada jiongeze
 
Mleta mada hujitambui!!!
Subiri ukasup ili akili uipate vzr...,
Then kaulize hata hao wanokufundisha wamepita njia gani??

Tatizo first years wa mwaka huu post f.six wengi 2012 form four mlipewa matokeo awamu ya pili....,
Wengine hadi div.iv.26 mkaenda a level so sishangai kuona ukiandika pumba tu....
 
dah kaz kwel kwel...em tuambiwe unachukua course gan ya science.
 
daaa kweli A-level ndo kila kitu lecture yuko fasta anaamin wote ni wametoka f6 ni shida kwa waliotokea f4 afu cheti afu diploma kwa michipuo ya science.

Upo chuo gani?
hongera!
 
Back
Top Bottom