Usiponifikisha kileleni sirudi tena

Usiponifikisha kileleni sirudi tena

Mngejua mtoa mada ni mwanaume na ndevu zake msingehangaika na uzi huu..anachokifanya ni kutaka kujaza pm yake ili awatapeli..chukueni tahadhari.
 
Eeeh, nirudi nifanye nini kama kazi huwezi. Hata kama nimeshakula hela. Yako kiasi gani siwezi rudi na siwez endelea kutumia hela yako cz huitendei haki naona ntakuwa kama mwizi tu
Kutokana na maneno yako hayo inaonekana wewe hujaolewa bado na unachokifanya ni UZINZI NA UASHERATI....... ikimbie ZINAA mkuu, tafuta mume wa kukuoa na utulie naye. Tena kaa ufahamu kwamba kazi ya kufikishwa "kileleni" siyo ya Mwanaume pekee, bali ni ushirikiano wa Mwanaume na Mwanamke, ndiyo maana Mume na Mke wanaitwa mwili mmoja, hivyo kazi inayofanywa na mwili, viungo vyote hushiriki kazi hiyo.

Ni kama kupanda mlima, ili ufike kileleni kila kiungo kitafanya kazi, kuanzia mikono, miguu, mapafu, moyo, n.k. Sababu ninyi ni mwili mmoja kufika kileleni ni lazima msaidiane, lazima mshirikiane tena kwa bidii na maarifa. huwezi kubweteka tu kama "gogo" kisha mwenzako akubebe mpaka kileleni, hataweza, atachoka akiwa njiani, milima mingine ni mirefu mno kuipanda hasa ukiwa na mtu ambaye ni kama gogo.
 
Hivi ukiwa na beseni utafikishwa kilele kipi wakati papuchi inapiga kelele
 
Nikutongoze Mimi,kukutext kila siku nianze Mimi,bia nikununulie,usafiri nilipie,chips kuku ule wewe,shida za kwenu zote uniambie utadhani Mimi ustawi wa jamii na Hela nikupe afu mwisho wa siku kitandani gogo daah nakupiga bastora wallah.....

Just a joke.
 
Weka picha yako kwanza tukutathmini ukute unafanana na mbaula nani sasa atakufikisha mlimani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom