Wakwetu hebu upige hizi mambo jumapili nikupitie twende kule Jembe.....agree?
Wakwetu hebu upige hizi mambo jumapili nikupitie twende kule Jembe.....agree?
Oooohhhh... Wakwetu sikuiona hii message, hebu tuifanye weekend ijayo si ndio eeeh!
Hakikisha nipo eneo la tukio
Karibu sana binamu... Ushuhudie!!!!!!!!! :glasses-nerdy:
Sasa unakoelekea sio kuzuri ngoja nifanye mpango wa kununua duh!unavua viatu,soksi zina matundu lol
Aaaaaah! siku hizi ndo fasheni bwanaMwanaume kuvaa shati la kitenge
kijana mwenye mke na watoto kuvaa suruali mlegezo.
Inakera sana hii tena unakuta mtu anasikiliza taarabu na hii naiona sana kwa wasichana wa kaziKutembea barabarani unasikiliza mziki kwene simu lako la mchina bila earphone
kuchokonoa pua in public!
kujaribujaribu nguo za mitumba zinazopitishwa na wamachinga lol