Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
Inafika wakati polisi nao wanachoka kutumikishwaThis time hawajawapiga mabomu
Inafika wakati polisi nao wanachoka kutumikishwa
Karibu sana mkuuHiki chama kina wasichana wazuri sana.
Asante kamandà.Karibu sana mkuu
Wanavutiwa na Sera nzuri na Uongozi bora.Hiki chama kina wasichana wazuri sana.
Wanavutiwa na Sera nzuri na Uongozi bora.
Pia kina watu jasiri,wenye akili timamu, wanaojiamini na kujitegemea kifkra na wasiotegemea mbeleko ya dola kufanya siasa.Hiki chama kina wasichana wazuri sana.
UmewatamaniHiki chama kina wasichana wazuri sana.
Haaaa haaaa, Mkuu hivi unaachaje kusifia warembo wakali kama hawa.Umewatamani
Kama nakuona udenda ukikutokaHaaaa haaaa, Mkuu hivi unaachaje kusifia warembo wakali kama hawa.
Kama nakuona udenda ukikutoka
🤣 🤣 🤣 it seems. Polisi nao ni wanadamu, ukihojiana nao utawasikia kabisa nao wakisema kwamba wanajisikia vibaya kuwamwagia maji ya kuwasha ndugu zao. Kwa sababu mwisho wa siku chuki inajengwa kwa polisi, sio aliyewatuma polisi.Inafika wakati polisi nao wanachoka kutumikishwa
WanaLumumba wao ni kusifia wanaume wenzao tu mpaka wanataka kujiambukiza ushoga.Haaaa haaaa, Mkuu hivi unaachaje kusifia warembo wakali kama hawa.