Hahaha.duh..hatar sanaSafi sana mkuu mi kuna jirani yangu simsalimii siku moja akaniuliza shida Nini jirani nikamjibu hua nakuona kama jiwe tu.Mwingine kiongozi wa kiroho alileta ujinga nikamwambia kuanzia leo nimechagua kutokukuheshimu tu.Usicheke na pimbi mkuu.
Yah ..huwa nafanya hvyo sometime.ila nikiona kajikund flan kametulia halaf kwa mbal unaona walee wanakuangalia huku wanaongea halaf ukifika wananyamaza..sasa hapo mi ndo hata salam au hata kushusha vioo huwa sithubutu....na wajiloge sku1 kuniletea wez kwangu hapa..maana mguu wa kuku sjawai utumia toka niuchukue...(joke)
Ok poa mzee babaHyo ni signature yangu dada lake
Hii ni kweli kabisaMkuu watu ni washenz..perhaps sis wengne tuna habat mbaya ya kuchukiwa na watu from nowhere...labda hujawai pitia hyo life...mtu anatangaza jamaa anajiona au anaringa sana yule.while hakujui humjui..mpo tu..au mtu anasema jamaa ana dharau sana...labda mionekano yetu wengne ina kasoro tunaonekana vbaya mbele za watu...unless uwe umepitia hyo life ndio utanielewa..na hyo ni tokea chuo etc
Mkuu watu ni washenz..perhaps sis wengne tuna habat mbaya ya kuchukiwa na watu from nowhere...labda hujawai pitia hyo life...mtu anatangaza jamaa anajiona au anaringa sana yule.while hakujui humjui..mpo tu..au mtu anasema jamaa ana dharau sana...labda mionekano yetu wengne ina kasoro tunaonekana vbaya mbele za watu...unless uwe umepitia hyo life ndio utanielewa..na hyo ni tokea chuo etc
Naked truth