Transistor
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 970
- 1,461
Usipende kuiga biashara ya matajiri...Kwasababu kinacho watajirisha sio hiyo biashara unayo ona!
Katika Dunia hii unacho ona kinaleta mafanikio kiuhalisia sicho...
Katika hii dunia kila unacho kiona na kuonekana kinaleta mafanikio ni kinyume chake...
Kama unabisha Kauze nguo uwe kama FRED...
Ni mtizamo tu
Katika Dunia hii unacho ona kinaleta mafanikio kiuhalisia sicho...
Katika hii dunia kila unacho kiona na kuonekana kinaleta mafanikio ni kinyume chake...
Kama unabisha Kauze nguo uwe kama FRED...
Ni mtizamo tu