napoangalia picha hii nakumbuka PALE SAVEI, SIO SIL BILA MBIO ZANGU LEO NINGEKUA NA HADITH NYINGINE KABISA pia nawakumbukawapiganaj kama akina EMEKA AMBAO HAD LEO WANASOTA MTAA,,
Usiombe yakukute ndugu yangu, ilipigwa pale kwenye ule msikiti karibu na wanapocheza mpira. Nilikua naelekea marikiti darajani. Ule moshi ulionipata kwa mbali haukuniacha vizuri kabisaa. Nashangaa hawa waheshimiwa moshi mwingi tena hawajavaa hata vifaa vya kuzuia puani/machoni.