Last weekend nilikua kazin kwangu/ dukan.
Mme wangu siku hiyo hakwenda kazini ,,, ilinitokea tu mawazo yakaja nirudi nyumban ..yan biashara ilikua ngum nikawaza kurudi kufua nyumban
Nimefika mlangon kwa ndan nakuta viatu vya kike.
Mme wangu kakaa seblen kavaa surual na vest
Nikamuuliza tumepata mgeni?
Kadai mfanyakaz mwenzie kaja ila anaumwa kichwa kaenda kupumzika chumba Cha wagen.
Kiukwel moyo uliuma kwa mda nikashindwa Cha kufanya nikamfata uyo mdada mana namfaham na hua tunaitana wifi.
Iliniuma badae nikapotezea tu
Sasa leo kazin kwao mme wangu Kuna sherehe na jamaa hakuniambia mi niliambia na Shem wangu ambae wanafanya nae kazi tangu Monday
Jamaa kaniambia usiku huu na kadai hawaendi na wake zao
Hapa moyo unaumia tu sielew niwivu au nn kinachonisumbua
Mpaka Sasa hajarudi ..sijui ndio yupo na yule mgonjwa ata sielew
Mme wangu siku hiyo hakwenda kazini ,,, ilinitokea tu mawazo yakaja nirudi nyumban ..yan biashara ilikua ngum nikawaza kurudi kufua nyumban
Nimefika mlangon kwa ndan nakuta viatu vya kike.
Mme wangu kakaa seblen kavaa surual na vest
Nikamuuliza tumepata mgeni?
Kadai mfanyakaz mwenzie kaja ila anaumwa kichwa kaenda kupumzika chumba Cha wagen.
Kiukwel moyo uliuma kwa mda nikashindwa Cha kufanya nikamfata uyo mdada mana namfaham na hua tunaitana wifi.
Iliniuma badae nikapotezea tu
Sasa leo kazin kwao mme wangu Kuna sherehe na jamaa hakuniambia mi niliambia na Shem wangu ambae wanafanya nae kazi tangu Monday
Jamaa kaniambia usiku huu na kadai hawaendi na wake zao
Hapa moyo unaumia tu sielew niwivu au nn kinachonisumbua
Mpaka Sasa hajarudi ..sijui ndio yupo na yule mgonjwa ata sielew