Usiogope wanavyomshangilia


Hawa watu watakua na undugu, sema mmoja mfupi mwingine mrefu.
 
No worry, I will do that
Ni No worries Mkuu just saying...... what will you do? Kuweka kwenye mifuko ukatupe baharini au? Tusaidie kwa hili Mkuu!
Your first reply umesema Rubbish kwani hakuwa Iddi Amini au ulitaka Mtoa mada abadilishe jina aweke la nani anayefanana na ukweli huu? Tusaidie turekebishe
 
Kipi unahitaji kuhusu rubbish yenu?
 
Waulize wakutajie Mazuri yapi aliyofanya kafiri huyu.Hata moja tu.Hazikuwa propaganda ndo alivokuwa akitegemea nguvu za giza. Kaacha makovu mengi sana hata hawakutaka mzoga wake uje kuzikwa kule ungeleta laana ya udhalili alowatendea waja,kamwaga damu nyingi sana zisizo na hatia,utadhani angeishi milele,kumpa masikini dhima kubwa ya kuamua hatma maisha ya watu hakujawahi iacha jamii hio salama, mtu masikini huwa na mawazo ya kimasikini ya kujikweza Kwa maisha yapitayo km alivo amini.
 
Ukiwa mshirikina lazima ule nyama za watu,km moja ya kanuni zao
 

Kwangu mimi siwezi kukataa kuwa Idd Amin hakuwa Lucifer incarnate, na kama ni hivyo kula nyama za watu ni inevitable. Na kula nyama za watu kwako wewe ni jambo baya ila kwake ni nguvu ya ushetani ya kuimarisha utawala wake.

Shetani/Joka aliyekuwa anakaa ndani ya mwili wake na ambaye alikuwa anaendesha taifa la Uganda ndiye aliyekuwa anademand damu kama kafara, so its normal, at least for me who knows the spiritual world.

Kuna watawala kwenye biblia ambao walikuwa ni nje mtu ndani devil kabisa. Mfano ni mfalme wa Tiro mashariki ya kati ambaye Mungu alimuonesha nabii Ezekiel kuwa ni Kerubi aliyeasi mbinguni (Lucifer) akatupwa duniani.

Mungu alimwonesha nabii Ezekiel kuwa huyo unayemuona kwa nje kama mfalme wa taifa la Tiro actually ni shetani amevaa sura ya mwanadamu. Kwa home work soma Ezekiel 28:12-19
 
Sijamtaja magufuli sehemu yeyote. Take care!
 
Wa sasa anamzid id amini. Sijawahi kumwona kiongoz mwongo kama wa kwetu. Tena hana aibu kabisaaa!!
 
Wakati mwingine alikuwa anawaua baadhi ya wapinzani wake hata wale waliokuwa waandamizi kwenye serikali yake huku akiwa wa kwanza kumwaga machozi wakati wa misiba ya aliowaua.

Kwa sababu hujataja jina imekuwa vigumu kujua unamaanisha ni nani. Unajua hata Sokoine alipofariki yalimwaga machozi mengi.
 
Kweli uandishi ni kipaji.Stori ndefu lakini haichoshi kusoma, inabidi uungane na Paschal Mayalla naye pia yuko vizuri kwenye flow ya uandishi.Pongezi Mjema
 
Hii nayo ni propaganda nyingine, hivi Amini ulimjua au hadithi za kusadikika ulizokua unahadithiwa na wabaya wake, endelea kudanganya wasio na akili
 
Waganda wenyewe wanakwambia museveni ameua watu wengi kuliko idd amin
 
Hicho ndicho nilichomwambia huyu mpiga tarumbeta, swala la kula nyama za watu ilikua hadithi ya kusadikika tu, huyu mfipa anajaribu nae kutulisha propaganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…