Usiogope kuoa au kuolewa

fimboyaasali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
8,623
8,201
Uwe ni mdada, au mkaka, uwe na mchumba na unasita kuamua kuoa au kuolewa, sikia usisite, amua haraka na iwapo unataka ushauri njoo inbox. Na iwapo huna mchumba na unahitaji msaada, pia usisite kuomba kwangu ushauri. Nitakuongoza vizuri sana chini ya usimamizi wa Mungu ili uoe au uolewe na utapata mafanikio makubwa sana maishani mwako. Wakati ni huu.
 
Uwe ni mdada,au mkaka,uwe na mchumba na unasita kuamua,kuoa au kuolewa,sikia usisite,amua haraka na iwapo unataka ushauri njoo inbox.Na iwapo huna mchumba na unahitaji msaada,pia usisite kuomba kwangu ushauri,nitakuongoza vizuri sana chini ya usimamizi wa Mungu ili uoe au uolewe na utapata mafanikio makubwa sana maishani mwako.Wakati ni huu
Hujaweka ada ya kukuona mkuu!
 
Uwe ni mdada,au mkaka,uwe na mchumba na unasita kuamua,kuoa au kuolewa,sikia usisite,amua haraka na iwapo unataka ushauri njoo inbox.Na iwapo huna mchumba na unahitaji msaada,pia usisite kuomba kwangu ushauri,nitakuongoza vizuri sana chini ya usimamizi wa Mungu ili uoe au uolewe na utapata mafanikio makubwa sana maishani mwako.Wakati ni huu
Tunajua ushayatimba, wewe pambana uko uko kwenye ndoa yako, usituingize mkenge
 
pole ndugu,mimi nina 63 yrs na ndoa yenye umri wa miaka 35
Kwanza shikamo mzee wangu, bila kukuvunjia heshima ukweli ni kwamba kwa sasa ndoa hazina uzito kama ilivyokua wakati wa kizazi chenu. Mwanaume anataka sehemu ya kumaliza nyege zake na mwanamke anaangalia masilahi yake, ndoa na mahusiano ya kimapenzi kiujumla yamekua mtego atakaeingia kwenye mfumo wa mwenzake anapigwa na kitu kizito.
Na katika huu mtanange mwanamke amepewa victim status yaani jamii, NGOs, taasisi za kutetea haki na sheria za nchi vyote vinamlinda mwanamke as if mwanamke ni mtakatifu na wanawake washajua mifumo ya dunia ina loopholes ambazo wanaweza kuzitumia kwa manufaa yao.

Katika huu utapeli uliopewa jina la ndoa mwanaume hana anachofaidika zaidi ya kuweka rehani uhuru wake na mali zake kwaiyo vijana tumeamua hatuoi
KATAA NDOA
 
NIlipokuwa mdogo kitu pekee nilichokuwa nakiogopa kuliko vyote ni kifo, ila nilivyokuwa mkubwa nimejikuta kuna vitu naviogopa zaidi kuliko kifo mfano ndoa, umasikini, ulemavu wa mwili au akili, yani kuliko kuwa na hivyo vitu ni heri nife tu nijue moja
 
Kwanza shikamo mzee wangu, bila kukuvunjia heshima ukweli ni kwamba kwa sasa ndoa hazina uzito kama ilivyokua wakati wa kizazi chenu. Mwanaume anataka sehemu ya kumaliza nyege zake na mwanamke anaangalia masilahi yake, ndoa na mahusiano ya kimapenzi kiujumla yamekua mtego atakaeingia kwenye mfumo wa mwenzake anapigwa na kitu kizito.
Na katika huu mtanange mwanamke amepewa victim status yaani jamii, NGOs, taasisi za kutetea haki na sheria za nchi vyote vinamlinda mwanamke as if mwanamke ni mtakatifu na wanawake washajua mifumo ya dunia ina loopholes ambazo wanaweza kuzitumia kwa manufaa yao.

Katika huu utapeli uliopewa jina la ndoa mwanaume hana anachofaidika zaidi ya kuweka rehani uhuru wake na mali zake kwaiyo vijana tumeamua hatuoi
KATAA NDOA
Marahabaa,hayo mawazo yako yanapingana kabisa na falsafa ya maisha,iliyojengwa juu ya maadili,elimu ya dini na hata mantiki tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom