Kichwa cha habari kibadirishwe , sasa tutafungaje ndoa kama hamna upendo.
Kichwa kisome ndoa si sehemu ya kupumzika.
Sawa ndoa nyingi ni upendo, sababu zinazotokea ndoani huwa nyingi ni ukosedu wa ujuzi kwamba hujaja kupumzika, bali heshima na ustaarabu vinatawala kwenye ndoa. Upendo ndio chanzo cha makubaliano boss.Upendo ni cover tu, na mara nyingi sio kweli kuwa mnapendana kama mnavyoambizana…. hivyo huo upendo unaweza kuwa chanzo cha kuwakutanisha tu ila maamuzi ya kuendelea kuishi pamoja yanabebwa na sababu nyingine tofauti kabisa.
Upendo ni mmojawapo, ila sio kila kitu.
Ndio ni kwa ajili ya WATOTO sio kwa ajili yenu nyie watu wazima. Nyie mnabaki kuwa watumwa tu kwa watoto wenu mpk mtakapoitwa mavumbini. Don't try to find HAPPINESS kwenye Ndoa coz hutakaa uipate. Ndoa ni MAJUKUMU TU.
😁😁Nipo mkuu, shule zimefungwa.
Kabisa mkuu,upendo nineno lakutamkwa tu mzeebaba;tena neno hilo limekua likitumiwa kwa ulaghai au likitumiwa vibaya tu nawatu.inafaa kuwe nasababu za ziada nje ya mwenza wako kukutamkia nakupenda au kusisitiza kua amezama kwenye penzi lako,mambo hayo nikama,Upendo ni cover tu, na mara nyingi sio kweli kuwa mnapendana kama mnavyoambizana…. hivyo huo upendo unaweza kuwa chanzo cha kuwakutanisha tu ila maamuzi ya kuendelea kuishi pamoja yanabebwa na sababu nyingine tofauti kabisa.
Upendo ni mmojawapo, ila sio kila kitu.
I salute you brother ndoa asilimia kubwa nimajukumu tu,hata tendo landoa lenyewe liko kiuwajibikaji zaidi ,,fikiria usiku wa manane mtu anakuamsha umpige miti wakati ww unausingizi mzito au unamawazo tofauti.nikama msalaba flani hivi wakubeba.Ndio ni kwa ajili ya WATOTO sio kwa ajili yenu nyie watu wazima. Nyie mnabaki kuwa watumwa tu kwa watoto wenu mpk mtakapoitwa mavumbini. Don't try to find HAPPINESS kwenye Ndoa coz hutakaa uipate. Ndoa ni MAJUKUMU TU.
I salute you brother ndoa asilimia kubwa nimajukumu tu,hata tendo landoa lenyewe liko kiuwajibikaji zaidi ,,fikiria usiku wa manane mtu anakuamsha umpige miti wakati ww unausingizi mzito au unamawazo tofauti.nikama msalaba flani hivi wakubeba.
Umeandika maneno magumu sana ambayo baadhi ya wanawake huwa tunakuja kuyaelewa kwa kuchelewa sana na wakati mwingine tunakuwa tumeathirika vibaya mno na muda unakuwa umeshayoyoma🤒🥴🤪😴Niseme nisiseme?
Tega sikio.
Upendo sio kigezo pekee kwenye ndoa, upendo hautakuwepo kati yenu kwa nyakati zote. Mnahitaji sababu zingine muhimu za kuishi kwenye ndoa.
Sababu hizo ni pamoja na umoja na ushirikiano katika kujenga familia yenu.
Ndoa sio sehemu ya starehe wala kupumzika. Ukiingia kwenye ndoa kwa lengo la kupumzika (hapa wanawake wengi hujidanganya) ujue utakuwa mzigo kwa mwenzi wako.
Hata suala la uaminifu kuna muda sio kipaumbele, inabidi kukubali ukweli kuwa sio rahisi kuwa wa pekee yako…. kikubwa heshima na mambo yanaenda.
Ncha Kali…![]()