Usiniulize swali...just sing along!

Usiniulize swali...just sing along!

Ujue wewe ni Mentor wangu....nimekuwa nikiamini kuwa u have superhuman powers.....
Nitafute tuongee over a cup of coffee.......mekumiss.....
 
Last edited by a moderator:
miss chagga dadangu, this I promise you!



I guess I have my mind made up bro...I will stick with Gayle's I will get over you...

Kama ni yule wa Mwanza nafikiri huo ni uamuzi sahihi afande.Mapenzi ni hatari sana,hayajali kama umepitia depo wala mafunzo ya ukomandoo.All the best.
 
Last edited by a moderator:
mweleze kaka yako Ntuzu ajue jinsi gani unavyoipenda ndoa yake na umekuwa wewe ndio mhilmili....

uliokoa ile siku Khantwe alikuwaa ashaanza kula kucha na kusugua miguu tuu na alikuwa uchochoroni na kigiza kilikuwepo

Ashalishwa limbwata hasikii chochote
 
Last edited by a moderator:
Walaaaaaaa huyo ni Nkwela wangu!



sometimes huwa tunapendaga tu kupiga stori wenyewe sema ndo ivo wapambe nuksi hawachoki kutuzushia maneno!



heee basi nshapitiliza, kwa sasa wamebaki wanne! walikuwa watano ndo huyu mmoja kaniponyoka!



Mke wangu weeeeeee....nakupenda anyway!

Am just singing along ooh
 
kama vile nkimaliza, moyo utatulia,
kumbe najiliwaza, maumivu yaendelea,
mapenzi mwili wa pweza, huwezi kuyaelewa.
 
Kibabu kinakupenda bdo
Jana alikuwa analia juu yko mtaa wa pili anasema atakuhonga hela yake yoote ya mafao ya uzeeni
Naona ugoro umekolea amelala now
Jion utamwona na fujo zake Asprin cum thizi way wizout parking anywere
Nimekuja my new love, kuna gani inaendelea hapa?

Ngoja nikule daku kwanza......
 
Bebii ulipata salamu zangu??

hazijafika babuuuu
Nani babu yako bebii??

njoo tule wote......
Pakua kabisa kianze kupoa. Mi nna mahaba sana na pishi lako tyam.

am woching yuu
Easy..... easy.... am all yours. Ni upepo tu.

unaitwa bebi halafu we unamwita babu
Afadhali unisaidie kuuliza. Ndo maana huwa siachi kukupenda..... ngoja nikutafute wozap kule nikuambie kitu changu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom