Shemeji yangu weee Ntuzu, mimi na wewe hatujajuana MMU ujue! Ni kwa nini unaamini maneno ya wapambe nuksi!??
mhhh shieka, hebu niambie huyu mwimbaji ni nani!
Ila mapenzi haya...I look back to the days I was 20/21/22 ...#siongei
Ahahah dadangu weee ngoja na mimi nitafute wa kumnyang'anya!
Kwanini usije wewe tu unipe experience mwenyewe!!!!
I understand you...getting over someone you loved for real!
Just keep singing dear wife, "...I'll get over you, I'll be through and when I do..."
Kidogo ifanane na signature yako...
[FONT=century gothic [USER=114064]Khantwe[/USER] ni nkwela wangu tu![/FONT]
ICHANA weeeeee hadi wewe mwayego!??
Ooooh kumbe we're sailing in the same ship! Basi poa...
Mentor, wewe ni fundi kama sheikh Kipozeo
Hebu ongea taratibu asisikie mwallu....kwani kibabu kile kimesema kinanipenda bado?
Shemeji Khantwe mimi na wewe tunasaidiana. Nitafute nikutafsirie.
Nakala kwa mumeo na shemeji yangu: Ntuzu
Mke wangu kipenzi: mwallu
Mawifi zako wenye gubu: Honey Faith, miss neddy na ICHANA
Mke mwenzio: miss chagga
...u r right again!
Halafu jina lako kama la mwanetu na Vaislay!
miss chagga dadangu, this I promise you!Ndiyo utafute na uhakikishe unashinda .
Hahahahaaaa mkuu ujue katika hali kama hizi huwa tunakuwa hatupo precise na tunachotaka kufanya.Unatamani uendelee na hamsini zako lakini moyo bado unalilia penzi ambalo umetoswa.
So nyimbo zote mbili zinahusika hapo ili mwisho wa siku ujue upande upi upo,moving on or crying over her
Tatizo lako Shemeji Yangu huishi kupiga story na Mke wangu Khantwe tena mnajificha!
Yani hapo tu Ndio shida!
umeona eeeeh
Huoni kila ninalomwandikia nawaita nyote ili mkose la kusema!
sijakuona ukitia neno hapa miss neddy!
Huoni kila ninalomwandikia nawaita nyote ili mkose la kusema!
sijakuona ukitia neno hapa miss neddy!
miss chagga dadangu, this I promise you!
I guess I have my mind made up bro...I will stick with Gayle's I will get over you...
Naona tutAenda nae hivi hivi tunamkaba hadi akose sehemu ya kuchepukia
haha ninalo basi nakuona unataka kumfanya khantwe mpango wa kando
Ukiona umenyaganywa mmoja wewe nyaganya wawili weka kwenye mchujo lazima uwe mshindi
Wanazimaga kila mara
Walaaaaaaa huyo ni Nkwela wangu!
sometimes huwa tunapendaga tu kupiga stori wenyewe sema ndo ivo wapambe nuksi hawachoki kutuzushia maneno!
heee basi nshapitiliza, kwa sasa wamebaki wanne! walikuwa watano ndo huyu mmoja kaniponyoka!
Mke wangu weeeeeee....nakupenda anyway!