Wakuu ni wazi tumeshuhudia watu wakiwa wamelala/sinzia wengine wanalala kwa kukoloma iwe kwenye daladala au kitandani au kwenye kochi popote pale je ni ka ugonjwa? Unakuta mtu kaachama mdomo nzi wanaingia na kutoka kama huyu hapa chini
Ni nusu kifo,ni dawa ndio maana ukiamka unajisikia nguvu mpya.Na watu wasio na usingizi wanakuwa wagonjwa kabisa na akili zao zinakuwa hazijatulia na wanautafuta hata kwa madawa ya usingizi.
Mazoea nayo yanachangia mkuu, kama mtu akijijengea utaratibu wa kulala amefunga mdomo itafikia kipindi atakuwa analala hivyo bila kuufungua, labda awe na mafua yanayomzuia kupumua kwa pua!
Wakuu ni wazi tumeshuhudia watu wakiwa wamelala/sinzia wengine wanalala kwa kukoloma iwe kwenye daladala au kitandani au kwenye kochi popote pale je ni ka ugonjwa? Unakuta mtu kaachama mdomo nzi wanaingia na kutoka kama huyu hapa chini
Usingizi kama ni ugonjwa, basi watu wote ni wagonjwa. Jamaa akiamka na akigudua umetumia picha yake, huna baati maana atakutafuta na kukuwinda kwa mishale na manati. Ila mbona wapo wengi hapo, ni makonda wa malori au ni makuli maana inaelekea mzigo ulikuwa mzito. Nyoka anaweza kuingia mdomoni bila yeye kujitabua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.