kama Tom & Jelly vile...!
nunua selotepu...ukihisi usingizi tu, basi unaibandika selotepu kati ya kope na sehemu ya juu ya kope, hii itazuia kope kujifunga...
Ha ha haaaa! My husband umenichekesha kweli....,
Brain Chick unajua maana ya ID yako?
Kama unajua basi usingeweka hoja yako hapa kwa kuwa sehemu yake stahilivu ni JF DOCTOR.
Hapa wataichakachua mpaka basi.
NIMEMALIZA.
Ha ha haaaa! My husband umenichekesha kweli....,
Unampenda mme wako?
Kwa Haji Tumbo, kwa Mz. Alma'arufu Vuai Makame Pandu, ulizia hata mtoto mdogo atakuleta. Yaani hapa kuna mandingo hata ya kuwafanza Mods wanapigwa mafusho kile kitufe cha ban hawakioni !
Haswa ila anaitwa Jerry...
sidaanganyiki shem!Don't panic my dear Shem!
Coz a certain disease does not havin practice to spread frm one person to another or inherited! It's not a fatal disease , many pipo recover as if they gettin early treatment.
Hakuachi banah! Acha uoga!
Yaani hapo muda wote jicho linakuwa wazi hakuna kufunga...