napenda
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 485
- 90
Habari wana jf, naomba mwenye ufaham wa namna ya kusindika nyanya kuwa tomato souce na pilipili kuwa chillsouce, pia vifaa kama mashine na vichanganywa pia gharama zake, nataka nii-ingize ktk baget
nawakilisha
===============
masalu isidori, post:
KUSINDIKA NYANYA
Nyanya ni zao ambalo haliwezi kuifadhika kwa muda mrefu lisipozindikwa zao hili ni zao la bustani ambalo linalimwa na wakulima na linahitajika katika shughuli za jikoni kama kiungo cha kuungi mboga, wakulima wemgi wamekuwa wakipata hasara kwa kulima zao la nyanya na kukata tamaa ya kulima zao hili tena ni kwanini kwa sababu bei ya zao hushuka pale ambapo zao hilo linapatikana kwa wingi sokoni na kumfanya mkulima ashidwe kupata faida kwa sababu zao linapokuwa lipo kwa wingi sokoni na uhitaji wa watu ni mdogo bei hushuka lakini kunakipindi ambacho zao halipatikani kwa wingi sokoni na kuwa na bei kubwa kipindi hiki ni kipindi ambacho mkulima ambaye ni mbunifu anatengeneza pesa lakini atatengenezaje pesa ni kwa kuchakata zao hilo na kulihifadhi na kuuzwa kwa bei ya juu.
Zao la nyanya ni zao ambalo hisindikwa na kupata bidhaa mbalimbali kuepuka uhalibifu wa zao hilo, kuongeza ubora na thamani, na kuwezesha upatikanaji wakati wote, zao hili huzidhikwa kuwa nyanya za kukausha,juice,lahamu na sosi au rojo.
KUKAUSHA NYANYA
Nyanya zinazotakiwa ni zile zilizokomaa na kuiva vizuri. Aina ya nyanya zinazotakiwa ni zile zenye nyama nyingi kama roma, Tanya na tengeru 97.
Vifaa
Juisi hii huifadhiwa kwa muda wa miezi sita, hutumika kama kiburudisho
nawakilisha
===============
masalu isidori, post:
KUSINDIKA NYANYA
Nyanya ni zao ambalo haliwezi kuifadhika kwa muda mrefu lisipozindikwa zao hili ni zao la bustani ambalo linalimwa na wakulima na linahitajika katika shughuli za jikoni kama kiungo cha kuungi mboga, wakulima wemgi wamekuwa wakipata hasara kwa kulima zao la nyanya na kukata tamaa ya kulima zao hili tena ni kwanini kwa sababu bei ya zao hushuka pale ambapo zao hilo linapatikana kwa wingi sokoni na kumfanya mkulima ashidwe kupata faida kwa sababu zao linapokuwa lipo kwa wingi sokoni na uhitaji wa watu ni mdogo bei hushuka lakini kunakipindi ambacho zao halipatikani kwa wingi sokoni na kuwa na bei kubwa kipindi hiki ni kipindi ambacho mkulima ambaye ni mbunifu anatengeneza pesa lakini atatengenezaje pesa ni kwa kuchakata zao hilo na kulihifadhi na kuuzwa kwa bei ya juu.
Zao la nyanya ni zao ambalo hisindikwa na kupata bidhaa mbalimbali kuepuka uhalibifu wa zao hilo, kuongeza ubora na thamani, na kuwezesha upatikanaji wakati wote, zao hili huzidhikwa kuwa nyanya za kukausha,juice,lahamu na sosi au rojo.
KUKAUSHA NYANYA
Nyanya zinazotakiwa ni zile zilizokomaa na kuiva vizuri. Aina ya nyanya zinazotakiwa ni zile zenye nyama nyingi kama roma, Tanya na tengeru 97.
Vifaa
- Visu vikali visivyoshika kutu
- Ungo
- Sufuria
- Jiko
- Kaushio bora
- Mifuko ya plastiki
- Beseni
- Chagua nyanya zilizokomaa na kuiva vizuri
- Osha kwa maji safi na salama
- Kata nyanya kwenye vipande visivyozidi muilimita tano
- Panga kwenye kaushio safi ili zikauke
- Fungasha vipande vya nyanya vilivyokauka kwenye mifuko safi ya plastiki isiyopitisha unyevu
- Weka lebo inayoonyesha muda wa kuisha matumizi kwa mwaka mmoja kutoka siku ya kutengenezwa
- Hifadhi sehemu yenye ubaridi na kavu.
- Hutumika kama viungo kwenye vyakula mbalimbali
- Chukua nyanya zilizoiva na kukomaa vizuri
- Osha kwa maji safi na salama
- Katakata nyanya katika vipande vidogo
- Pima uzito wa nyanya
- Kwa kilomoja ya nyanya ongeza maji lita moja
- Chemsha kwemye moto kwa muda wa dakika 5 moto uwe na nyuzi joto 85
- Saga nyanya kwa kutumia mashine ya mkono au umeme
- Chuja rojo ili kupata juisi
- Ongeza sukari gram 20 na chumvi gram 10 kwa kila lita moja ya rojo
- Chemsha tena kwa muda wa dakika 20
- Jaza juisi ikiwa ya moto kwenye chupa safi
- Zipange chupa hizo kwenye sufuria
- Weka maji kwenye sufuria yafii nusu ya chupa
- Chemsha tena ili kuondoa hewa iliyoupo ndani ya chuapa
- Ipua acha zipoe kisha weka lebo
- Hifadhi kwenye ubaridi
Juisi hii huifadhiwa kwa muda wa miezi sita, hutumika kama kiburudisho