Usimwite dada/kaka mtu ambae hujazaliwa nae

Usimwite dada/kaka mtu ambae hujazaliwa nae

Mwanamke ambaye sio Ndugu yangu akiniita Kaka najua kuna kitu Anataka kuninyima.
 
Kuna Kaka ya Ukweli na Kaka ya uchokozi, mwanaume makini anajua hili neno ā€˜Kaka' linatoka moyoni au mdomoni, na ndio maana asilimia nyingi ya waliokuwa wananiita Kaka nimepita nao sababu walikuwa wananichokoza tu ili nirushe ndoano
 
Kama sikutaki mapeema nakuita kaka
Kaka no mapenzi
Kaka hela anatoa
 
Kwa manufaa ya baadae Mtu kama ujazaliwa nae hutakiwi kumuita kaka au dada. Kwanza mtu usiezaliwa nae unanzaje kumwita kaka, dada [emoji848] ndo mana baadae mkikwama mnaishia kujilaumu ati mtu mwenyewe namwita kaka/dada tunaeshimiana sna.

Utakuja kukosa mume au mke kwa ujinga wko. Kaka au dada ni yle umezaliwa nae tu wengne wote unatakiwa uwaite kwa majina yao. km unashindwa kutumia majina yao direct Unaweza kumwita Mfano miss Caroline, Mr James. Km ata ivo umeshindwa basi mwite friend au mate lakin sio kaka/dada.
Umeongea kwa hisia
 
Kwa manufaa ya baadae Mtu kama ujazaliwa nae hutakiwi kumuita kaka au dada. Kwanza mtu usiezaliwa nae unanzaje kumwita kaka, dada šŸ¤” ndo mana baadae mkikwama mnaishia kujilaumu ati mtu mwenyewe namwita kaka/dada tunaeshimiana sna.

Utakuja kukosa mume au mke kwa ujinga wko. Kaka au dada ni yle umezaliwa nae tu wengne wote unatakiwa uwaite kwa majina yao. km unashindwa kutumia majina yao direct Unaweza kumwita Mfano miss Caroline, Mr James. Km ata ivo umeshindwa basi mwite friend au mate lakin sio kaka/dada.
Ata ukizaliwa nae kuna watu wana laana linqkutesa km kawa
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Kuna mmoja ananiita baba na ameshazoea na ananidekea as if mimi ni baba yake kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom