Usimwite dada/kaka mtu ambae hujazaliwa nae

Usimwite dada/kaka mtu ambae hujazaliwa nae

Kwa manufaa ya baadae Mtu kama ujazaliwa nae hutakiwi kumuita kaka au dada. Kwanza mtu usiezaliwa nae unanzaje kumwita kaka, dada 🤔 ndo mana baadae mkikwama mnaishia kujilaumu ati mtu mwenyewe namwita kaka/dada tunaeshimiana sna.

Utakuja kukosa mume au mke kwa ujinga wko. Kaka au dada ni yle umezaliwa nae tu wengne wote unatakiwa uwaite kwa majina yao. km unashindwa kutumia majina yao direct Unaweza kumwita Mfano miss Caroline, Mr James. Km ata ivo umeshindwa basi mwite friend au mate lakin sio kaka/dada.
Yamenikutaaa yamenikuutaaaaa mzeee mwenzangu ... Nakaimba tu kanyimbo ketu wakonge.
 
666 umeiona? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20211105-223603_1.jpg
 
😂😂😂 uko sahihi kabisa husband tulianza hivyo hivyo, nilimuita bro nae aliniita mdogo wangu,, dah meza ilipopinduliwa ikawa hun na sweetheart
 
Hakuna ubaya kama ipo ipo tu, watu tulianza kuambiwa dada yako kafanya hivi leo wanasema mkeo kafanya hivi, usiwaze sana dadaangu😂
 
Eeh ndio mnaanzaga hivyo eeh
Hakuna aliyetegemea tutakuwa hivi, maana ilikuwa Ni mahusiano ya kama ndg au binamu hata wanawake zake tuliwajadili na wengine nilishiriki kumuunganishia😅,
 
Hakuna aliyetegemea tutakuwa hivi, maana ilikuwa Ni mahusiano ya kama ndg au binamu hata wanawake zake tuliwajadili na wengine nilishiriki kumuunganishia😅,
Bas mlikuwa mnapendana toka kitambo ila tu mlikuwa mnaogopana kwa kigezo cha kaka dada(kuharibu urafiki wenu) wenda ata hao madem uliokuwa una muonganisha nao ulikuwa unafanya tu ila moyo unakuuma kama kwenye movie ya love,rosei
 
Bas mlikuwa mnapendana toka kitambo ila tu mlikuwa mnaogopana kwa kigezo cha kaka dada(kuharibu urafiki wenu) wenda ata hao madem uliokuwa una muonganisha nao ulikuwa unafanya tu ila moyo unakuuma kama kwenye movie ya love,rosei
Ni tafsiri yako wala siwezi kujieleza zaidi kwako,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom