Usimwage damu isiyo na hatia wala usimuonee mtu mnyonge, yatima, mjane au mtu ambaye hata ukimfanyia ubaya huwezi pata majibu ya maswali yako.
Unaweza ukafikiri nina nguvu nina pesa na Mamlaka hivyo na roho hizi mali yangu, nakuapia mwisho unakuwa mbaya sana sana.
Gemedari mkubwa ktk Israel alipewa amri amuue Uria. Kweli akamuuwa ila pamoja na mema yote alie mfanyia mfalme, mfalme alipokuwa mzee alimwambia mwanae Suleiman asimuache roho yake yule gemedar aishi na kweli aliuwawa vile vile kwa upanga.
Usitoe uhai wa mwanadam kwa makusudi au kwakupanga maana dam ya mtu huyo itakutesa mpaka kaburini ndio maana muuwaji anatapa tapa maana anaogopa kifo japo yeye ni mtoa roho. Kwanini anatapatapa wakati yeye ni mtoa roho? Haya ni maneno ya Mungu kwa Kaini baada ya kumuuwa Abili nduguye. Almwambia dam ya ndugu yako ina nililia ardhini"
Unapo mwaga dam nakuongoza mauwaji dam za ulio watoa roho zinakulilia nakukusumbuwa nakuapia hakuna mchawi wala nabii anaweza kukupa usingizi wa hofu uta tapa tapa utahangaika utahama kila nyumba ila dam ya ulio wauwa inakulilia na mara nyingi mwisho mtu hufa kwa hofu.
Pesa au mali isikudanganye kutoa uhai wa mtu hata kama ni masikin nakuapia utalipa hiyo damu wewe na uzao wako.
Ndio maana duniani kuna mambo yakutisha sana. Why? Mungu yupo Mungu yupo.
Unaweza ukafikiri nina nguvu nina pesa na Mamlaka hivyo na roho hizi mali yangu, nakuapia mwisho unakuwa mbaya sana sana.
Gemedari mkubwa ktk Israel alipewa amri amuue Uria. Kweli akamuuwa ila pamoja na mema yote alie mfanyia mfalme, mfalme alipokuwa mzee alimwambia mwanae Suleiman asimuache roho yake yule gemedar aishi na kweli aliuwawa vile vile kwa upanga.
Usitoe uhai wa mwanadam kwa makusudi au kwakupanga maana dam ya mtu huyo itakutesa mpaka kaburini ndio maana muuwaji anatapa tapa maana anaogopa kifo japo yeye ni mtoa roho. Kwanini anatapatapa wakati yeye ni mtoa roho? Haya ni maneno ya Mungu kwa Kaini baada ya kumuuwa Abili nduguye. Almwambia dam ya ndugu yako ina nililia ardhini"
Unapo mwaga dam nakuongoza mauwaji dam za ulio watoa roho zinakulilia nakukusumbuwa nakuapia hakuna mchawi wala nabii anaweza kukupa usingizi wa hofu uta tapa tapa utahangaika utahama kila nyumba ila dam ya ulio wauwa inakulilia na mara nyingi mwisho mtu hufa kwa hofu.
Pesa au mali isikudanganye kutoa uhai wa mtu hata kama ni masikin nakuapia utalipa hiyo damu wewe na uzao wako.
Ndio maana duniani kuna mambo yakutisha sana. Why? Mungu yupo Mungu yupo.