Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,742
- 17,979
Nilienda ofisi Moja ya umma kwaajili ya kupata huduma flani. Sikuridhishwa na huduma, niliona dalili zote kwamba muhudumu hayuko serious. Nikajaribu kuongea naye kwa upole lakini hakuonyesha dalili ya kuvaa uhusika wa mtoa huduma hiyo.
Sasa kwa kuwa issue ilikuwa urgent na sioni ushirikiano wa mhusika, Nikaamua kwenda kwa boss wake na kumueleza A - Z. Ili anisaidie yeye. Akampigia simu na kuweka loud, nilishangaa wanaongea friendly kabisaa jamaa wa upande wa pili anacheka na kuongea kwa dharau utadhani yeye ndiye boss. Wakaongeaaa.. Baadae huyo bosi akaniruhusu niondoke bila kunisaidia japo swala lipo chini ya uwezo wake.
Usimshtaki mtumishi wa umma kwa bosi wake, utaaibika. Kama hujaridhishwa na huduma, ni Bora utafute alternative tofauti.
Sasa kwa kuwa issue ilikuwa urgent na sioni ushirikiano wa mhusika, Nikaamua kwenda kwa boss wake na kumueleza A - Z. Ili anisaidie yeye. Akampigia simu na kuweka loud, nilishangaa wanaongea friendly kabisaa jamaa wa upande wa pili anacheka na kuongea kwa dharau utadhani yeye ndiye boss. Wakaongeaaa.. Baadae huyo bosi akaniruhusu niondoke bila kunisaidia japo swala lipo chini ya uwezo wake.
Usimshtaki mtumishi wa umma kwa bosi wake, utaaibika. Kama hujaridhishwa na huduma, ni Bora utafute alternative tofauti.