Usimdhamini 'foreigner' police... Nilinusurika kuingia lupango!

Sehemu ya tatu
Tukiwa external sio mbali na ofisi nikiwa sasa najua wazi natafutwa nikapata simu iliyonifanya nusu nizirai... Nikapigiwa simu na mtu mkubwa akinitaka by saa tisa niwe nimewakabidhi watuhumiwa wangu kituo chochote cha polisi la sivyo nitaunganishwa kwenye kesi... Ni wakati nimeenda kujisaidia narudi sioni mtu wala gari funguo niliacha mezani... Nikauliza uelekeo na kuonyeshwa wameelekea njia ya buguruni.... Niliwakuta mwananchi wamegonga daladala iliyoingia barabarani bila hadhari.... Nikawakabidhi palepale kituoni
Haikuwa kesi rahisi lakini hatimaye sikuingia lock up... Kumbe wale wajinga wakati nadrive walikuwa kwenye mawasiliano ya siri na jamaa zao waliokuwa Ilala
Hapa uliapply tungur nini mpk wakagonga daladala
 
Kwa nini ulikuwa una support uhalifu wa wageni? Bora mngefungwa wote tuu, unajisifu eti umewakwepa polisi, shame, puu!
 
Back
Top Bottom