Naona maana majini yako yamekutadharishaaa juu ya hiyo kitu safi Sana mkuuKuna jambo lilijitokeza lililopelekea kuomba ifutwe
Kumbe unamiliki hadi mazombie axe we hatarmazombie
Hapa uliapply tungur nini mpk wakagonga daladalaSehemu ya tatu
Tukiwa external sio mbali na ofisi nikiwa sasa najua wazi natafutwa nikapata simu iliyonifanya nusu nizirai... Nikapigiwa simu na mtu mkubwa akinitaka by saa tisa niwe nimewakabidhi watuhumiwa wangu kituo chochote cha polisi la sivyo nitaunganishwa kwenye kesi... Ni wakati nimeenda kujisaidia narudi sioni mtu wala gari funguo niliacha mezani... Nikauliza uelekeo na kuonyeshwa wameelekea njia ya buguruni.... Niliwakuta mwananchi wamegonga daladala iliyoingia barabarani bila hadhari.... Nikawakabidhi palepale kituoni
Haikuwa kesi rahisi lakini hatimaye sikuingia lock up... Kumbe wale wajinga wakati nadrive walikuwa kwenye mawasiliano ya siri na jamaa zao waliokuwa Ilala
kwamba kwamba mod anaweza fanya yake sio?Ngoja nii-screen shot kwa matumizi ya baadae
Hawatabiriki hawa.kwamba kwamba mod anaweza fanya yake sio?
Nataka niisome taratibu mkuu
Hiyo ni lugha ya kuudhi.umeponea chupuchupu kuolewa na askari
Vipi mkuu mdudu gani ameingia?