Usimdhamini 'foreigner' police... Nilinusurika kuingia lupango!

Sehemu ya pili
Kule Lugoba polisi walikuwa tayari wamewasili kwenye nyumba husika na kuweka guard wakisubiri amri ya kuingia kwa nguvu kama mpaka usiku itakuwa hakuna aliyefungua geti... Huku njiani kumbe walikuwa wameshajua kuwa nilipita kibaha ila sijakatiza Mlandizi niko wapi? Muda wote huo nilikuwa nawasha simu na kuzima mpaka nilipohakikisha nimewatia mkononi watu wangu... Msiri wangu akanitext kuwa niage kabisa familia... Madereva tax wa Chalinze walifyatuka ila kwakuwa wa pili aliishia kuwapeleka mpaka mizani sheli hakujua walipoelekea... Nikazima simu zote zao na zangu
Tukatafuta gesti ya vichochoroni nje ya mji ttukalala kwa kukesha mpaka asubuhi.... Wao wakiniomba msaada niwafikishe dar salama, mimi nikipanga nikawakabidhi central police mwenyewe
Alfajiri tukanyanyua, kuelekea Kisarawe then Dar.. Morogoro road isingepitika wala Bagamoyo road kote huko tulikuwa tunasubiriwa kama mpira wa kona
Nyuma ya Sterling, nina mnyama V8 four wheel drive, shockup za umeme saa mbili asubuhi tulikuwa Kisarawe kupitia barabara ya Vumbi iliyotubidi tuende mpaka maneromango
Safari ya dar ilikuwa ngumu hasa kutoka gongolamboto mpaka External... Ilikuwa kesho yake ni IDD hivyo mji ulikuwa na foleni ya kufa mtu.... Baada ya tabu nyingi saa sita ndio tunafika external
Nilikuwa nimezima simu tangu jana ile jjioni kuwasha tu ni ujumbe wa msiri wangu kuwa nifanye niwezavyo niwafikishe watuhumiwa central mimi mwenyewe na si sehemu nyingine yoyote
It was the race against time

Mwisho wa sehemu ya pili
Wewe muongo,yani utoke kibaha,uje kisarawe sawa sasa uko maneromango umefata nini.? Au ndio njia ya kwenda dar iko maneromango.?yanikisarawe iko mbele ndio njia muafaka wa kwenda dar wewe unarudi nyuma maneromango.? Muongo wewe
 
Mkuu Mshana naomba msaada wa kupata materials kwa ajili ya kufanya smudging -Sage, sweet grass,cedar nazipataje hapa Bongo
 
Wewe muongo,yani utoke kibaha,uje kisarawe sawa sasa uko maneromango umefata nini.? Au ndio njia ya kwenda dar iko maneromango.?yanikisarawe iko mbele ndio njia muafaka wa kwenda dar wewe unarudi nyuma maneromango.? Muongo wewe
Kama hujui kitu uliza kwa utaeleweshwa... Kuna njia inatoka Bagamoyo kupitia mlandizi mpaka maneromango then unarudi Kisarawe unaifahamu?
 
Sehemu ya pili
Kule Lugoba polisi walikuwa tayari wamewasili kwenye nyumba husika na kuweka guard wakisubiri amri ya kuingia kwa nguvu kama mpaka usiku itakuwa hakuna aliyefungua geti... Huku njiani kumbe walikuwa wameshajua kuwa nilipita kibaha ila sijakatiza Mlandizi niko wapi? Muda wote huo nilikuwa nawasha simu na kuzima mpaka nilipohakikisha nimewatia mkononi watu wangu... Msiri wangu akanitext kuwa niage kabisa familia... Madereva tax wa Chalinze walifyatuka ila kwakuwa wa pili aliishia kuwapeleka mpaka mizani sheli hakujua walipoelekea... Nikazima simu zote zao na zangu
Tukatafuta gesti ya vichochoroni nje ya mji ttukalala kwa kukesha mpaka asubuhi.... Wao wakiniomba msaada niwafikishe dar salama, mimi nikipanga nikawakabidhi central police mwenyewe
Alfajiri tukanyanyua, kuelekea Kisarawe then Dar.. Morogoro road isingepitika wala Bagamoyo road kote huko tulikuwa tunasubiriwa kama mpira wa kona
Nyuma ya Sterling, nina mnyama V8 four wheel drive, shockup za umeme saa mbili asubuhi tulikuwa Kisarawe kupitia barabara ya Vumbi iliyotubidi tuende mpaka maneromango
Safari ya dar ilikuwa ngumu hasa kutoka gongolamboto mpaka External... Ilikuwa kesho yake ni IDD hivyo mji ulikuwa na foleni ya kufa mtu.... Baada ya tabu nyingi saa sita ndio tunafika external
Nilikuwa nimezima simu tangu jana ile jjioni kuwasha tu ni ujumbe wa msiri wangu kuwa nifanye niwezavyo niwafikishe watuhumiwa central mimi mwenyewe na si sehemu nyingine yoyote
It was the race against time

Mwisho wa sehemu ya pili
mwisho wa story au utaendelea mkuu...
 
Kama hujui kitu uliza kwa utaeleweshwa... Kuna njia inatoka Bagamoyo kupitia mlandizi mpaka maneromango then unarudi Kisarawe unaifahamu?
Mpotezee tu maana hajui na anataka kuonyesha anajua.

Je ukimwambia unaweza kwenda makambako kupitia mlimba ifakara bila kufika iringa atakuelewa??
 
Back
Top Bottom