Usimchanganye Mungu Na miungu mingine Utaanguka

Usimchanganye Mungu Na miungu mingine Utaanguka

Samson Ernest

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2014
Posts
1,217
Reaction score
1,706
Yer 2:28 SUV
[28] Lakini wako wapi miungu yako ulioifanya? Na wasimame hao, kama wakiweza kukuokoa wakati wa taabu yako; kwa maana hesabu ya miungu yako ni sawasawa na hesabu ya miji yako, Ee Yuda.

Ulizo hili la Mungu ni la kejeli kwa Yuda, kwa sababu walimwacha Mungu na kugeukia miungu mingine, jambo ambalo lilikuwa chukizo kwa Mungu wao.

Mungu kuwauliza "Wako wapi miungu yako uliyoifanya? " Inaonyesha miungu yao haikuwasaidia katika mapito yao, walifikiri miungu waliyoitengeneza itakuwa msaada wao, ila haikuwa hivyo ndio maana Mungu anawauliza swali hili la kejeli.

Tunaweza kufika mahali tukaacha kumtegemea Mungu na kugeukia miungu mingine, miungu ambayo ni kazi ya mikono ya mwanadamu, yaani unajitengenezea sanamu au mnatengeneza sanamu alafu mnaanza kuiabudu.

Tunashindwa kuelewa miungu hiyo haiwezi kujibu mahitaji yetu, haiwezi kuokoa, na haiwezi kusaidia shida ngumu zinazotukabili katika maisha yetu.

Tuelewe hakuna mungu mwingine kama Yehova, na wokovu wetu haukuletwa na miungu ya kuchongwa au ya mababu zetu, wokovu ulipatikana kwa Yesu Kristo peke yake.

Kugeukia miungu mingine ni kujiletea laana pasipo sababu, tunapaswa kujiweka mbali na ibada za sanamu, au kutegemea miungu mingine huku tunasema tumeokoka.

Ukimwamini Yesu sawasawa, umejihakikishia usalama wa maisha yako, muhimu kwako ni kuendelea kukua kiroho, kuhakikisha neno la Mungu linajaa moyoni mwako na kujua haki zako, na yale Mungu hataki ufanye.

Ukishamwelewa Mungu kupitia neno lake, hautakuwa na tamaa ya kugeukia miungu mingine kutafuta msaada, unajua unaye Mungu mwenye uwezo wa kufanya chochote kwa wakati wowote.

Soma neno ukue kiroho
Liwe jua iwe mvua soma biblia na kutafakari
Mungu akubariki sana
 
Yer 2:28 SUV
[28] Lakini wako wapi miungu yako ulioifanya? Na wasimame hao, kama wakiweza kukuokoa wakati wa taabu yako; kwa maana hesabu ya miungu yako ni sawasawa na hesabu ya miji yako, Ee Yuda.

Ulizo hili la Mungu ni la kejeli kwa Yuda, kwa sababu walimwacha Mungu na kugeukia miungu mingine, jambo ambalo lilikuwa chukizo kwa Mungu wao.

Mungu kuwauliza "Wako wapi miungu yako uliyoifanya? " Inaonyesha miungu yao haikuwasaidia katika mapito yao, walifikiri miungu waliyoitengeneza itakuwa msaada wao, ila haikuwa hivyo ndio maana Mungu anawauliza swali hili la kejeli.

Tunaweza kufika mahali tukaacha kumtegemea Mungu na kugeukia miungu mingine, miungu ambayo ni kazi ya mikono ya mwanadamu, yaani unajitengenezea sanamu au mnatengeneza sanamu alafu mnaanza kuiabudu.

Tunashindwa kuelewa miungu hiyo haiwezi kujibu mahitaji yetu, haiwezi kuokoa, na haiwezi kusaidia shida ngumu zinazotukabili katika maisha yetu.

Tuelewe hakuna mungu mwingine kama Yehova, na wokovu wetu haukuletwa na miungu ya kuchongwa au ya mababu zetu, wokovu ulipatikana kwa Yesu Kristo peke yake.

Kugeukia miungu mingine ni kujiletea laana pasipo sababu, tunapaswa kujiweka mbali na ibada za sanamu, au kutegemea miungu mingine huku tunasema tumeokoka.

Ukimwamini Yesu sawasawa, umejihakikishia usalama wa maisha yako, muhimu kwako ni kuendelea kukua kiroho, kuhakikisha neno la Mungu linajaa moyoni mwako na kujua haki zako, na yale Mungu hataki ufanye.

Ukishamwelewa Mungu kupitia neno lake, hautakuwa na tamaa ya kugeukia miungu mingine kutafuta msaada, unajua unaye Mungu mwenye uwezo wa kufanya chochote kwa wakati wowote.

Soma neno ukue kiroho
Liwe jua iwe mvua soma biblia na kutafakari
Mungu akubariki sana
Umepotea sana mkuu
 
WEWE MBUZI UNAOGOPA KULA NGURUE LAKINI HAUONII HURUMA UHAI WA MTU KWA KUKUBALI KUWA UTAPEWA MALAYA 72 NA MITO YA GONGO NA MTU MWENYEWE ALIEKUAHIDI HAYA ALIKUWA PEDOPHILE ALIEBAKA WATOTO NA KUWAHIMIZA NYIE KUWAFANYA WENGINE WATUMWA NA KUWAUA KWA MAANA HAWANA USHIRIKA NA NYIE.

[emoji706][emoji706]
UKWELI KUHUSU KUINGIA KWANGU KWENYE UISLAMU...

Wakati nikiwa Mkristo, kulikuwa na aya nyingi katika Biblia zilizonifanya nijiulize maswali kuhusu dini niliyokuwa naifuata (Ukristo). Kulikuwa na aya moja hasa, 1 Wathesalonike 5:17 inayosema: “Ombeni bila kukoma,” ambayo ilinipa tafakari kubwa sana.

Nilijiuliza mara nyingi: mtu (Mkristo) anatakiwa kuombaje bila kukoma? Bila mwongozo wa kibiblia au wa kimungu, njia pekee niliyodhani ingewezekana ni kwa kufanya matendo mema kila wakati, na kumkumbuka Mungu kwa ulimi na moyoni.

Hata hivyo, niligundua kuwa hilo haliwezekani kabisa kama binadamu. Lakini nilipotambulishwa kwa Uislamu mwaka 2004, na kuanza kusoma na kujifunza kuhusu mfumo huu wa maisha, niligundua kuwa Uislamu unatoa mwongozo wa kimungu kutoka kwa Mwenyezi Mungu (Allah) na kwa Mtume Muhammad (SAW), unaomuwezesha mtu kuwa katika hali ya ibada kila wakati iwapo ni mapenzi ya Mungu.
 
UKWELI KUHUSU KUINGIA KWANGU KWENYE UISLAMU...

Wakati nikiwa Mkristo, kulikuwa na aya nyingi katika Biblia zilizonifanya nijiulize maswali kuhusu dini niliyokuwa naifuata (Ukristo). Kulikuwa na aya moja hasa, 1 Wathesalonike 5:17 inayosema: “Ombeni bila kukoma,” ambayo ilinipa tafakari kubwa sana.

Nilijiuliza mara nyingi: mtu (Mkristo) anatakiwa kuombaje bila kukoma? Bila mwongozo wa kibiblia au wa kimungu, njia pekee niliyodhani ingewezekana ni kwa kufanya matendo mema kila wakati, na kumkumbuka Mungu kwa ulimi na moyoni.

Hata hivyo, niligundua kuwa hilo haliwezekani kabisa kama binadamu. Lakini nilipotambulishwa kwa Uislamu mwaka 2004, na kuanza kusoma na kujifunza kuhusu mfumo huu wa maisha, niligundua kuwa Uislamu unatoa mwongozo wa kimungu kutoka kwa Mwenyezi Mungu (Allah) na kwa Mtume Muhammad (SAW), unaomuwezesha mtu kuwa katika hali ya ibada kila wakati iwapo ni mapenzi ya Mungu.
Wewe ni wa kuombea tu, ulipoteaje kirahisi hivyo🙆🙆
 
Yer 2:28 SUV
[28] Lakini wako wapi miungu yako ulioifanya? Na wasimame hao, kama wakiweza kukuokoa wakati wa taabu yako; kwa maana hesabu ya miungu yako ni sawasawa na hesabu ya miji yako, Ee Yuda.

Ulizo hili la Mungu ni la kejeli kwa Yuda, kwa sababu walimwacha Mungu na kugeukia miungu mingine, jambo ambalo lilikuwa chukizo kwa Mungu wao.

Mungu kuwauliza "Wako wapi miungu yako uliyoifanya? " Inaonyesha miungu yao haikuwasaidia katika mapito yao, walifikiri miungu waliyoitengeneza itakuwa msaada wao, ila haikuwa hivyo ndio maana Mungu anawauliza swali hili la kejeli.

Tunaweza kufika mahali tukaacha kumtegemea Mungu na kugeukia miungu mingine, miungu ambayo ni kazi ya mikono ya mwanadamu, yaani unajitengenezea sanamu au mnatengeneza sanamu alafu mnaanza kuiabudu.

Tunashindwa kuelewa miungu hiyo haiwezi kujibu mahitaji yetu, haiwezi kuokoa, na haiwezi kusaidia shida ngumu zinazotukabili katika maisha yetu.

Tuelewe hakuna mungu mwingine kama Yehova, na wokovu wetu haukuletwa na miungu ya kuchongwa au ya mababu zetu, wokovu ulipatikana kwa Yesu Kristo peke yake.

Kugeukia miungu mingine ni kujiletea laana pasipo sababu, tunapaswa kujiweka mbali na ibada za sanamu, au kutegemea miungu mingine huku tunasema tumeokoka.

Ukimwamini Yesu sawasawa, umejihakikishia usalama wa maisha yako, muhimu kwako ni kuendelea kukua kiroho, kuhakikisha neno la Mungu linajaa moyoni mwako na kujua haki zako, na yale Mungu hataki ufanye.

Ukishamwelewa Mungu kupitia neno lake, hautakuwa na tamaa ya kugeukia miungu mingine kutafuta msaada, unajua unaye Mungu mwenye uwezo wa kufanya chochote kwa wakati wowote.

Soma neno ukue kiroho
Liwe jua iwe mvua soma biblia na kutafakari
Mungu akubariki sana
Amen mkuu
 
Hivi hiyo miungu huwa inatokea wapi? Huyo mungu si ni muumba wa kila kitu pamoja na hiyo miungu? Mbona anakuwa na wivu sana na vitu vyake mwenyewe?
 
UKWELI KUHUSU KUINGIA KWANGU KWENYE UISLAMU...

Wakati nikiwa Mkristo, kulikuwa na aya nyingi katika Biblia zilizonifanya nijiulize maswali kuhusu dini niliyokuwa naifuata (Ukristo). Kulikuwa na aya moja hasa, 1 Wathesalonike 5:17 inayosema: “Ombeni bila kukoma,” ambayo ilinipa tafakari kubwa sana.

Nilijiuliza mara nyingi: mtu (Mkristo) anatakiwa kuombaje bila kukoma? Bila mwongozo wa kibiblia au wa kimungu, njia pekee niliyodhani ingewezekana ni kwa kufanya matendo mema kila wakati, na kumkumbuka Mungu kwa ulimi na moyoni.

Hata hivyo, niligundua kuwa hilo haliwezekani kabisa kama binadamu. Lakini nilipotambulishwa kwa Uislamu mwaka 2004, na kuanza kusoma na kujifunza kuhusu mfumo huu wa maisha, niligundua kuwa Uislamu unatoa mwongozo wa kimungu kutoka kwa Mwenyezi Mungu (Allah) na kwa Mtume Muhammad (SAW), unaomuwezesha mtu kuwa katika hali ya ibada kila wakati iwapo ni mapenzi ya Mungu.

Yaani utoke kwenye Ukristo uende kujiunga na dini ya muarabu aliyobuni baada ya Yesu kuondoka, muarabu mwenyewe alifanya mauchafu ikiwemo kudinya katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa.
Kingine huyo muarabu Mungu wake sio Mungu wa Wakristo, maana ana maagizo yasiyoendana na Ukristo ikiwemo kuagiza uwongo utumike, pia kuhubiri maujuha kama vile sijui ngono na mabikira 72

Haileti mantiki mtu atoke Ukristo akajiunge na huo ushetani, ila nitakuelewa maana hizi ni enzi zilizotabiriwa, mtahama wengi atakayevumilia hadi mwisho ataokoka.
 
Yaani utoke kwenye Ukristo uende kujiunga na dini ya muarabu aliyobuni baada ya Yesu kuondoka, muarabu mwenyewe alifanya mauchafu ikiwemo kudinya katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa.
Kingine huyo muarabu Mungu wake sio Mungu wa Wakristo, maana ana maagizo yasiyoendana na Ukristo ikiwemo kuagiza uwongo utumike, pia kuhubiri maujuha kama vile sijui ngono na mabikira 72

Haileti mantiki mtu atoke Ukristo akajiunge na huo ushetani, ila nitakuelewa maana hizi ni enzi zilizotabiriwa, mtahama wengi atakayevumilia hadi mwisho ataokoka.
Dini yenye ibaada yenye viashiria vya kishirikina kuabudu masanamu haina logic na human reasoning ni shida ni linisurika allahamudullillah nashukuri mola wangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom