Muulize kwanini kampuni inaitwa 7up?Kwenye kutafuta hela mzee lazima uwe mtu wa kuforce muda mwingine, wavumbuzi wenyewe walishakutana na ukuta mara kadhaa lakini walikaza mwisho wa siku Boom!
Maskini hajawahi kulindwa na ulimwengu hata siku moja!
Nadhani atasoma hapa, atakuja kutoa jibu.Muulize kwanini kampuni inaitwa 7up?
Mtazamo wangu upo upande wa mambo ya kiroho sana kwahiyo haufungamani na mifano ya ki Dunia hiyoMuulize kwanini kampuni inaitwa 7up?
Well thats good your a real fighter. Kuna mambo ya ku force na mengine hayahitaji ku force unaweza ukaishia pabayaUkiachana na kuzaliwa pamoja na masomo yangu mpaka o'level, mambo mengine yote yaliyobaki asilimia kubwa nime-force sana. Na kama isingekuwa hivyo huenda leo hii ningekuwa marehemu
Umesema mchongo sijui na nini! mzee ivi unaamini hakuna uniformity ya mambo hapa duniani? Unaweza ukajua njia hii sio sahihi mwezie akapita hiyohiyo akafika! Wewe njia uliyoiamini ukipita unafeliMtazamo wangu upo upande wa mambo ya kiroho sana kwahiyo haufungamani na mifano ya ki Dunia hiyo
Mimi nazungumzia mambo ya ki roho hayo yanawagusa watu wa imani sasa kwa mtu ambaye sio wa imani sio rahisi kuelewa . Ni sawa usome andiko Yesu alitembea kwenye maji inaingia akilini kweli kwa mtazamo wa kikawaida ?Nadhani atasoma hapa, atakuja kutoa jibu.
Point ni kwamba kuna mambo mengine ambayo mtu ametumia nguvu kubwa kufanikisha hayatokei lakini yeye akaendelea kulazimisha akaishia kuangukia kwenye matatizoUmesema mchongo sijui na nini! mzee ivi unaamini hakuna uniformity ya mambo hapa duniani? Unaweza ukajua njia hii sio sahihi mwezie akapita hiyohiyo akafika! Wewe njia uliyoiamini ukipita unafeli
Amini kuna mambo mengine tena mtu anafosi na anatoboa tuPoint ni kwamba kuna mambo mengine ambayo mtu ametumia nguvu kubwa kufanikisha hayatokei lakini yeye akaendelea kulazimisha akaishia kuangukia kwenye matatizo
Hio ipo sikatai ila kuna mambo hayahitaji ulazimishe , mfano kulazimisha penzi halafu demu hana feeling na ww , unafikiri penzi hilo litatoboa kweli ? Au kulazimisha safari ambayo inavipingamizi kumbe ni mambo ya kiroho yanakuzuia unaenda unakula mzinga . Hauwezi kuelewa kama hauna imaniAmini kuna mambo mengine tena mtu anafosi na anatoboa tu
Mapambano yanahitajika mkuu,chochote kwenye maisha lazima ukipambanie lazima ukitolee jasho ,hakuna neno bahati kwenye maisha lazima ufanye jitihada ndo upate kitu. Hata ule mchezo wa mahati nasibu lazima utoke ukasuke mkeka.kwahyo mapambano ni mhimu sana na chochote cha halali lazima ukitolee jasho na Kuna wakati unaweza ukahisi siyo chako kumbe ni kipimo cha utuJambo lolote ambalo lina baraka za Mungu na ni mapenzi ya Mungu katika Maisha yako huwa hautumii nguvu kulipata
Usilazimishe Mchongo unaokataa, usilazimishe Safari inayokataa , usilazimishe Mapenzi yanayokataa , n.k . Universe is protecting you
Mkuu hakuna mtu duniani alianzisha kitu hapo hapo kikaendelea na kuzidi kunawili bila changamoto.kuforce ni mhimu sana kwenye life hiiJambo lolote ambalo lina baraka za Mungu na ni mapenzi ya Mungu katika Maisha yako huwa hautumii nguvu kulipata
Usilazimishe Mchongo unaokataa, usilazimishe Safari inayokataa , usilazimishe Mapenzi yanayokataa , n.k . Universe is protecting you
Vp kwa wanandoa ambao wamehangaika kupata mtoto kwa muda mrefu?Jambo lolote ambalo lina baraka za Mungu na ni mapenzi ya Mungu katika Maisha yako huwa hautumii nguvu kulipata
Usilazimishe Mchongo unaokataa, usilazimishe Safari inayokataa , usilazimishe Mapenzi yanayokataa , n.k . Universe is protecting you
Waache wanaweza waka force wakamleta jambazi DunianiVp kwa wanandoa ambao wamehangaika kupata mtoto kwa muda mrefu?
Kupambana ni ruksa ila kuwe na kiasi ukizidisha unatafuta matatizoMapambano yanahitajika mkuu,chochote kwenye maisha lazima ukipambanie lazima ukitolee jasho ,hakuna neno bahati kwenye maisha lazima ufanye jitihada ndo upate kitu. Hata ule mchezo wa mahati nasibu lazima utoke ukasuke mkeka.kwahyo mapambano ni mhimu sana na chochote cha halali lazima ukitolee jasho na Kuna wakati unaweza ukahisi siyo chako kumbe ni kipimo cha utu
The spirit of Tao 💪🔥Jambo lolote ambalo lina baraka za Mungu na ni mapenzi ya Mungu katika Maisha yako huwa hautumii nguvu kulipata
Usilazimishe Mchongo unaokataa, usilazimishe Safari inayokataa , usilazimishe Mapenzi yanayokataa , n.k . Universe is protecting you