The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 8,304
- 27,163
Kwa Catholics nadhani na KKKT huwa wanapewa semina ya siku tatu,mategemeo yoote ya mabadiliko kwa wanandoa hufundishwa na pia kueleweshwa nanma ya kukabaliana nayo.Mm naona ingekuw vyema kabla ya ndoa wahusika wakuu waingie kwny dini zao wafundishwe somo la ndoa kwa mwaka mzima ndio jambo ndoa lifanyik.
Hii itapunguz vilio na mmomonyoko wa ndoa za kileo
Kwa jicho la kawaida kwa wanaozingatia kukabaliana nazo ndani ya miaka sita ya ndoa yao hawa hutoboa.