Usiku wa mauzauza ya CHADEMA

Usiku wa mauzauza ya CHADEMA

Nendubotho Sunguya

Senior Member
Joined
Oct 9, 2019
Posts
126
Reaction score
109
Sikumbuki tarehe ila nakumbuka ilikuwa ni karibu kabisa na uchaguzi mkuu 2015, nikiwa nimelala chumba cha upande wa mbele wa nyumba yetu huko kijijini katika jimbo alilokuwa anawania Dkt Mollel kwa tiketi ya CHADEMA.Ghafla kama kimondo nilisikia jiwe kubwa limepiga kioo likatoa sauti kubwa sana ya mpasuko wa kioo.

Niliogopa na kufikiri ni ndoto lakini kabla sijang'amua kama ile ilikuwa ni ndoto au ni kweli, nilisikia watu wanatembea kwa vishindo na hali ya kuogofya huku wakiulizana maneno ambayo sikuyaelewa - ni kama fujo fulani. Watu wengine wakaamka ila kwa tahadhari sana.

Nikaenda sebuleni kuungana nao ndipo nilipowasikia wakitafuta sehemu ya kupanda ili washushe bendera ya CCM iliyoko juu ya bati letu. Ndipo wote tulijua hawa ni CHADEMA hofu ilitanda

Tuliogopa na kukimbilia jikoni huko ambako ni upande wa nyuma wa nyumba.
Hofu ilitujaa ukizingatia siku mbili zilizopita mwanachama mmoja kindaki ndaki wa CCM alilawitiwa na kutupwa maeneo ya makaburini na CHADEMA walijigamba baada ya tukio lile kwamba watakomesha na wengine.

Walifanikiwa kupanda juu wakashusha bendera kama baada ya dakika 10 pakawa kimya.

Ndipo baba akapigiwa simu na mlinzi wa maeneo ya maduka ambako na sisi tunaduka pale kwamba jamaa wamepanda juu ya bati la duka wanatoa bendera na pia wanachana picha za wagombea wa CCM zilizobandikwa kwenye kuta za duka letu.

Nikiri baba alikua mpenzi kindakindaki wa CCM na alitupa mifano mingi kwa nini tunapaswa kuienzi CCM.
Sikuwahi muelewa ila usiku ule nilimuelewa. Sikulala usiku kucha nikiwaza kama kweli hawa jamaa wakiingia ikulu itakuwaje?

Joto la uchaguzi lilipanda sana na kampeni za CHADEMA zilihusisha kuvamiavamia maeneo ya biashara za wanachama wa CCM na vitisho vingi matusi ya waziwazi niliyashuhudia.

CHADEMA walifanya uvunjifu mkubwa wa haki za kibinadamu na pia amani kipindi cha uchaguzi wa 2015 na kama kuna mwanahabari anayetaka kutengeneza habari nitampa evidence zote

Maana hata huyo jamaa aliyelawitiwa na CHADEMA aliwaona na anawajua sema alienda mafichoni na eneo alipo ninalifahamu.

CHADEMA wanaimba haki,utawala bora na usawa lakini vitendo walivyofanya wakati wa uchaguzi viliumiza watu wengi sana.

Naamini uchaguzi wa mwakani na huu wa Serikali za Mitaa mtaufanya kwa amani maana kwa staili ile hamkutakiwa kupata hata kitongoji kimoja.
 
Waje wajitetee hapa ama kukanusha...!
Nina ushahidi lukuki mkuu hata mtu akiwa anauwezo wa kutengeneza article nitampa watu wote wa kuwahoji hata watoto wadogo waliyashuhudia kabisa.
Ni kwa vile hakuna aliyeripoti.
Jamaa aliyelawitiwa alienda kujificha andeni akawaacha watoto wa dogo sana.
Mmoja ninaishi nae
Kwa hiyo nina ushahidi woote
 
Aliyelawitiwa ni wewe, pole Sana mkuu!

Toka 2015 mpaka Leo ndio unazinduka??
 
Pole sana. Sasa kama wewe ni mwoga namna hiyo, mwaka ujao chagua nchi nyingine uhamie, maana ya mwakani yatatisha zaidi. Mwaka ujao ni mwaka wa kulikomboa Taifa. Ije mvua lije jua ccm ni lazima itoke madarakani, kwa heri ama kwa shari
 
Pole sana. Sasa kama wewe ni mwoga namna hiyo, mwaka ujao chagua nchi nyingine uhamie, maana ya mwakani yatatisha zaidi. Mwaka ujao ni mwaka wa kulikomboa Taifa. Ije mvua lije jua ccm ni lazima itoke madarakani, kwa heri ama kwa shari
Kwanini msitumie box la kura?
Kuna haja gani ya kutangaza vita?
Je mnawasiwasi hamuwezi kushinda?
Ni kina nani huwa wanahubiri demokrasia?
Acheni watu wachague kwa uhuru na amani.
Nawaambia kura haziibiwi wala nini lakini kwa kule kwetu hampati hata kitongoji kwa maovu yenu
 
Mleta Mada ni mzushi na inaonekana anatoa comment zisizo na mashiko. Naona kama anafanya kampaini vile while kila mtu anajua kinachoendelea kwenye nchi hii. Maovu wafanyiwe wapinzani na tuhuma ziende kwa wapinzani- Shame on you ndugu.....Tuambie Mawazo (RIP) ambaye hayupo tena na aliyelawitiwa ( Unknown) ni tukio gani la kuogopesha... Acha urongo....wewe ni Politician tena wa Wanaobaka Democrasia ya nchi hii... Subiria Kampain zianze.. bado ni mapema mno.
 
Propaganda uchwara

Tuliwapeleka jkt ili mkabiliane na madogo kama hayo matokeo yake unajificha jikoni kweli ulikua na haki ya kulawitiwa
 
Hawawezi kuingia ikulu huko kijinini walifanya ukatili mkubwa sana
Pumbavu hiyo mbona trela ilitakiwa muwe treated kama adui wa taifa.Wangechom moto nyumba wala nisingeshangaa .

Afu unaonekana mwoga sana.Ivi ni mwanaume kweli wewe au ni binti uko pindi la mwezi?
 
Back
Top Bottom