Usiku wa mauzauza ya CHADEMA

Usiku wa mauzauza ya CHADEMA

Afadhali wewe kioo kilipgwa jiwe. Fikiria Mwenyekiti wa CHADEMA kule Arusha alikatwa shingo kwa chainsew. Mawazo alikatwakatwa kwa mapanga. Ben Saanane njia aliyoipitia Mungu tu ndiyo anajua.

Lazima uwe mpumbavu sana kuamini kuwa kuna uungwana ndani ya CCM. Ndani ya CCM kuna majitu ni mauaji na maharamia ya kiwango ambacho ni nadra kushuhudiwa hata huko kwenye udikteta uliokomaa, kama Korea Kaskazini.

Ndani ya CCM na serikali kuna majitu ambayo japo ni mafuasi ya shetani lakini kwa uovu yanamzidi hata shetani mwenyewe.

Mara nyingi watu wa CCM na serikali wamekuja kunishawishi kujiunga na CCM eti ili nigombee ubunge. Naliapia jina la Mwenyezi Mungu sitathubutu kujiunga na CCM au chama chochote ambacho kipo tayari kuua kwa sababu ya madaraka. Sijakosa roho ya Mungu kiasi cha kujichangamanisha na wauaji. Namwomba Mungu daima, isitokee hata siku moja nikajiunga na uovu dhidi ya mwanadamu mwenzangu, katika maisha yangu yote ya kuwepo hapa Duniani.
 
Mleta Mada ni mzushi na inaonekana anatoa comment zisizo na mashiko. Naona kama anafanya kampaini vile while kila mtu anajua kinachoendelea kwenye nchi hii. Maovu wafanyiwe wapinzani na tuhuma ziende kwa wapinzani- Shame on you ndugu.....Tuambie Mawazo (RIP) ambaye hayupo tena na aliyelawitiwa ( Unknown) ni tukio gani la kuogopesha... Acha urongo....wewe ni Politician tena wa Wanaobaka Democrasia ya nchi hii... Subiria Kampain zianze.. bado ni mapema mno.
Sijapiga kampeni ya aina yoyote.
Hata kama kuna jambo lilimpata mawazo hakuna uhalaliwa kuhalalisha yaliyotokea siha
 
ID yako ya zamani ni ipi?
Sikumbuki tarehe ila nakumbuka ilikua ni tarehe za karibu kabisa na uchaguzi mkuu 2015.
Nikiwa nimelala chumba cha upande wa mbele wa Nyumba yetu kijijini huko jimbo alilokua anawania Dr mollel kwa tiketi ya chadema.

Ghafla kama kimondo nilisikia jiwe kubwa limepiga kioo likatoa sauti kibwa sana ya mpasuko wa kioo.

Niliogopa na kufikiri ni ndoto lakini kabla sijang'amua kwamba ile ni ndoto au ni kweli nilisikia watu wanatembea kwa vishindo na hali ya kuogofya huku wakiulizana maneno ambayo sikuaelewa ni kama fujo flani.
Watu wengine wakaamka ila kwa taadhari sana .

Nikaenda sebleni kuungana nao ndipo nilipowasikia wakitafuta sehemu ya kupanda ili washushe bendera ya CCM iliyoko juu ya bati letu.ndipo wote tulijua hawa ni chadema.hofu ilitanda

Tuliogopa na kukimbilia jikoni huko ambako ni upande wa nyuma wa nyumba.
Hofu ilitujaa ukizingatia siku mbili zilizopita mwanachama mmoja kindaki ndaki wa CCM alilawitiwa na kutupwa maeneo ya makaburini na chadema walijigamba baaada ya tukio lile kwamba watakomesha na wengine.

Walifanikiwa kupanda juu wakashusha bendera kama baada ya dakika 10 pakawa kimya.

Ndipo baba akapigiwa sim na mlinzi wa maeneo ya maduka ambako na sisi tunaduka pale kwamba jamaa wamepanda juu ya bati la duka wanatoa bendera na pia wanachana picha za wagombea wa CCM zilizobandikwa kwenye kuta za duka letu.

Nikiri baba alikua mpenzi kindakindaki wa CCM na alitupa mifano mingi kwa nini tunapaswa kuienzi CCM.
Sikuwahi muelewa ila usiku ule nilimuelewa.
Sikulala usiku kucha nikiwaza kama kweli hawa jamaa wakiingia ikulu itakuwaje?
Joto la uchaguzi lilipanda sana

Na kampeni za chadema zilihusisha kuvamia vamia maeneo ya biashara za wanachama wa CCM na vitisho vingi matusi ya waziwazi niliyashuhudia.

Chadema walifanya uvunjifu mkubwa wa haki za kibinadamu na pia amani kipindi cha uchaguzi wa 2015 na kama kuna mwanahabari anayetaka kutengeneza habari nitampa evidence zote

Maana hata huyo jamaa aliyelawitiwa na chadema aliwaona na anawajua sema alienda mafichoni na eneo alilipo ninalifahamu.

Chadema wanaimba haki,utawala bora na usawa lakini vitendo walivyofanya wakati wa uchaguzi viliumiza watu wengi sana.

Naamini uchaguzi wa mwakani na huu wa serikali za mitaa mtaufanya kwa amani maana kwa staili ile hamkutakiwa kupata hata kitongoji kimoja .
 
Pumbavu hiyo mbona trela ilitakiwa muwe treated kama adui wa taifa.Wangechom moto nyumba wala nisingeshangaa .

Afu unaonekana mwoga sana.Ivi ni mwanaume kweli wewe au ni binti uko pindi la mwezi?
Ni kweli chadema hadi nyumba wanachoma
Na kusababishwa wengine kuuwawa ila wakipelekwa gerezani wanalaumu na kulilia kila kona.
Ila wenyewe wana uwezo wa kuchoma nyumba ya mtu
 
polisi,jeshi,sungusungu,mgambo vyote ni mali ya ccm kwanini usingepetoa taarifa?? Utakuwa una shida kichwani maana ndoto za kijinga huotwa na wajinga.
 
Mkuu pole kwa mkasa huo,nimeumia unamvyolea mtoto baba yake akiwa amekimbia,Wote wanaokupinga ni hao hao Chadema,ili wakukatishe tamaa.Naomba Unipm nikupe muongozo wa wapi tuanzie kutoa uovu wa hao watu kama kweli una ushahidi na uliwaon na evidence unazo.Na yule baba tutamtafuta hawawezi kufanya ujinga huu wakachwa bila adhabu!
 
Mkuu pole kwa mkasa huo,nimeumia unamvyolea mtoto baba yake akiwa amekimbia,Wote wanaokupinga ni hao hao Chadema,ili wakukatishe tamaa.Naomba Unipm nikupe muongozo wa wapi tuanzie kutoa uovu wa hao watu kama kweli una ushahidi na uliwaon na evidence unazo.Na yule baba tutamtafuta hawawezi kufanya ujinga huu wakachwa bila adhabu!
nakupm mkuu
 
Sikumbuki tarehe ila nakumbuka ilikua ni tarehe za karibu kabisa na uchaguzi mkuu 2015.
Nikiwa nimelala chumba cha upande wa mbele wa Nyumba yetu kijijini huko jimbo alilokua anawania Dr Mollel kwa tiketi ya chadema.

Ghafla kama kimondo nilisikia jiwe kubwa limepiga kioo likatoa sauti kubwa sana ya mpasuko wa kioo.

Niliogopa na kufikiri ni ndoto lakini kabla sijang'amua kwamba ile ni ndoto au ni kweli nilisikia watu wanatembea kwa vishindo na hali ya kuogofya huku wakiulizana maneno ambayo sikuaelewa ni kama fujo fulani.
Watu wengine wakaamka ila kwa tahadhari sana .

Nikaenda sebuleni kuungana nao ndipo nilipowasikia wakitafuta sehemu ya kupanda ili washushe bendera ya CCM iliyoko juu ya bati letu. Ndipo wote tulijua hawa ni CHADEMA hofu ilitanda

Tuliogopa na kukimbilia jikoni huko ambako ni upande wa nyuma wa nyumba.
Hofu ilitujaa ukizingatia siku mbili zilizopita mwanachama mmoja kindaki ndaki wa CCM alilawitiwa na kutupwa maeneo ya makaburini na CHADEMA walijigamba baada ya tukio lile kwamba watakomesha na wengine.

Walifanikiwa kupanda juu wakashusha bendera kama baada ya dakika 10 pakawa kimya.

Ndipo baba akapigiwa simu na mlinzi wa maeneo ya maduka ambako na sisi tunaduka pale kwamba jamaa wamepanda juu ya bati la duka wanatoa bendera na pia wanachana picha za wagombea wa CCM zilizobandikwa kwenye kuta za duka letu.

Nikiri baba alikua mpenzi kindakindaki wa CCM na alitupa mifano mingi kwa nini tunapaswa kuienzi CCM.
Sikuwahi muelewa ila usiku ule nilimuelewa.
Sikulala usiku kucha nikiwaza kama kweli hawa jamaa wakiingia ikulu itakuwaje?
Joto la uchaguzi lilipanda sana

Na kampeni za CHADEMA zilihusisha kuvamia vamia maeneo ya biashara za wanachama wa CCM na vitisho vingi matusi ya waziwazi niliyashuhudia.

CHADEMA walifanya uvunjifu mkubwa wa haki za kibinadamu na pia amani kipindi cha uchaguzi wa 2015 na kama kuna mwanahabari anayetaka kutengeneza habari nitampa evidence zote

Maana hata huyo jamaa aliyelawitiwa na CHADEMA aliwaona na anawajua sema alienda mafichoni na eneo alipo ninalifahamu.

CHADEMA wanaimba haki,utawala bora na usawa lakini vitendo walivyofanya wakati wa uchaguzi viliumiza watu wengi sana.

Naamini uchaguzi wa mwakani na huu wa serikali za mitaa mtaufanya kwa amani maana kwa staili ile hamkutakiwa kupata hata kitongoji kimoja .


Pole sana. Kuliwa kiboga siyo mchezo. Na huwezi acha maisha..
 
Huo ndiyo uwezo wa vijana wetu. Hajui hata kuchukua anapoona tukio kama hilo. Leo ungeweza kuwa marehem kwa uzembe.
 
Nina ushahidi lukuki mkuu hata mtu akiwa anauwezo wa kutengeneza article nitampa watu wote wa kuwahoji hata watoto wadogo waliyashuhudia kabisa.
Ni kwa vile hakuna aliyeripoti.
Jamaa aliyelawitiwa alienda kujificha andeni akawaacha watoto wa dogo sana.
Mmoja ninaishi nae
Kwa hiyo nina ushahidi woote
Wewe ni mnafiki mkubwa na utakuja kufa kifo kibaya sana, Mauaji ya kishenzi waliyofanya CCM kwa wapinzani na hawakamatwi kwako sawa tu, huyo mmoja tu unaona dili sana.
Kwanza umesema uongo mkubwa,
 
CHADEMA kama kweli hizi tuhuma Ikulu mtaiskia kwenye Radio
Kama Tanzania mliinya Kama mavi chooni Ikulu tutaisikia tu, ila Kama Tanzania iliumbwa na Mungu basi ikulu ni yetu.
Halafu mbona mnaogopa tume huru ya uchaguzi na wakati mnapendwa sana?
 
Wewe ni mnafiki mkubwa na utakuja kufa kifo kibaya sana, Mauaji ya kishenzi waliyofanya CCM kwa wapinzani na hawakamatwi kwako sawa tu, huyo mmoja tu unaona dili sana.
Kwanza umesema uongo mkubwa,
Sioni sababu ya wewe kuhalalisha hayo maovu yenu kwa kulinganisha na mengine.
Soma tu coment uone wenzako wa chadema hapo juu wengine wakidiriki kusema hadi nyumba ilipaswa kuchomwa.sasa wewe unaona ni jambo dogo hilo?
Ni kawaida kwa chadema
 
Back
Top Bottom