Usiku mzuri wa Lukelo Sakafu ni leo

Usiku mzuri wa Lukelo Sakafu ni leo

Gazaniga

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2015
Posts
1,051
Reaction score
360
Kichwa cha habari chahusika,Lukelo Sakafu ameniagiza niwataarifu wana jukwaa wote kuwa usiku wa leo ni wa tofauti sana kwake na utakuwa ni usiku wapekee tangu amezaliwa mpaka leo.

Pia amenisisitiza niwakaribisheni nyote katika harusi yake inayoendelea pale sinza KKKT church.

Nimewakilisha ujumbe.
 
Hope mke asiwe kichwa kibovu kama wewe
 
eeeenh Basi na mimi ntaoa... na pumba zote zile anazotoa humu ndani kapata jiko
 
MashaAllah. Kila la kheri mzee wa maswali.

I hope utakata Na kula keki. Sio dona kama ulivosema
 
HAhahahAa. HuYu jaMaaa nikiBoko yAani aNaoa GhAfla hiVi. MiMi kAniSanI siO maEneO yaNgu UKumBii GanI HAruSi iNafaNyikA??

kuNa BiAa?
 
Kichwa cha habari chahusika,Lukelo Sakafu ameniagiza niwataarifu wana jukwaa wote kuwa usiku wa leo ni wa tofauti sana kwake na utakuwa ni usiku wapekee tangu amezaliwa mpaka leo.

Pia amenisisitiza niwakaribisheni nyote katika harusi yake inayoendelea pale sinza KKKT church.

Nimewakilisha ujumbe.



KuNa BiAaaa nije??
 
Unaweza kukuta anaye oa ndiye aliye anzisha thread maana jf kuna vituko sana....! Hapo mods wana cheka tuu!
 
ahahahaaa!!katika watu ambao natamani niwaone ana kwa ana basi ni LUKELO SAKAFU hapa JF.
 
Back
Top Bottom