Usiku huwa kuna ninii

Iyo hali inanitokeaga mimi pia, japo mimi uwa naweza kuji-control na kuamuka mapema..yaani inakuwaga ni kama nataka kuamuka kimwili lakini akili bado imelala

Huwa najitaidi sana ku-focus kuamuka na sio kulala mwisho hali inaondoka yenyewe.

Nakushauri iyo ni hali ambayo inaukuta mwili pale unapokuwa umelala bila mpangilio (hovyo hovyo) hivyo jitaidi kufatilia ulalaji wako labda unalala vibaya ndomana mauzauza hayaishi,make mie hali unitokea pale napolala kwenye kochi au kitandani kama nimelala vibaya....

post using my macbook air using jamiiforums app
 
pole sana !kunakipindi nyuma na mm iliwah nitokea nadhan nikiwa na miaka 15!nikapelekwa hosp nikaonekana na malaria nyingi sana !since hapo hakuna kitu! sana sana nawaota kina l.i.p.u.m.b..a tu .....mxiew zao!

pole!jaribu kwenda hospt!
 
Hii si kweli,mda mwingine utakuta mtu amekaa kabisa kitandani, ila anapata hyo force ya kumlazimisha kulala,hayo madude machafu tu mkuu,huamini cause hujapatwa au kushuhudia.
 
Hizo ndoto tu..usije ukafikiria eti unarogwa! Mwenyewe huwa inanikuta baadhi ya siku, sometime napiga mpaka makelele na kuruka kitandani...
Ila nikishajua ni ndoto nacool down na kuendelea kulala!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ndoto tu..usije ukafikiria eti unarogwa! Mwenyewe huwa inanikuta baadhi ya siku, sometime napiga mpaka makelele na kuruka kitandani...
Ila nikishajua ni ndoto nacool down na kuendelea kulala!

Sent using Jamii Forums mobile app


hahahaaha unanikumbusha kuna dent aliruka kutoka kwenye deka usk had chini puh! akaendelea kulala!ni miaka imepita ila huwa sisahau! inaitwa sleeping walking! pole sana
 
Kulala vibaya aje ,mbona huwa nalala vyema tu
 
Ila mie nishawahi kulala katikati ya kulala nakua kama nimepaliwa na mate na mtu ananikaba basi nashtuka nakohoa mapigo ya moyo yananienda mbio naonaga kama vile kifo kilee nilimuhadithia mama akasema nalala bila kusali then nisilale chali nilale na biblia saiv hainitokei tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi nafanya lakin kuna muda nakuwa sitaki kabisa sitaki kuguswaa


usifikiri huko mwaya utajikuta kila siku kwa waganga wa kienyeji! hyo kukosa hamu ni kawaida hatujawa mambwa tutake kila mara! me mtu anieleze habari za majini mahaba namuona yy mwenyew ni mahaba jini
 
Hii si kweli,mda mwingine utakuta mtu amekaa kabisa kitandani, ila anapata hyo force ya kumlazimisha kulala,hayo madude machafu tu mkuu,huamini cause hujapatwa au kushuhudia.
Huwa naambiwa nna maruhani itakuwa ni yenyewe ndio yananifanya hivyo
 
usifikiri huko mwaya utajikuta kila siku kwa waganga wa kienyeji! hyo kukosa hamu ni kawaida hatujawa mambwa tutake kila mara! me mtu anieleze habari za majini mahaba namuona yy mwenyew ni mahaba jini
Hebu niambie nini hunitokea usiku,,,umesoma uzi ?
 
Kulala vibaya aje ,mbona huwa nalala vyema tu
Try kujichunguza maybe ndo tatizo,ukiona unalala vizur basi tatzo inaweza ikawa maybe stress..!

Je unaonaga movie za kutisha labda...?

post using my macbook air using jamiiforums app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…