Mimi ni kijana wa kiume mwenye ambaye miaka 22 imepita tangu kuzaliwa kwangu.
* Ni muhitimu wa chuo ngazi ya diploma kwa masomo ya fizikia na biolojia,,, ila kutokana na eneo nililoko kukosa muamko wa elimu hivyo najikuta nikiwa nimekaa tu bila chochote Cha kufanya walau kujipatia riziki.
*Kwa upande flani naweza sema Kuna watu wengi wanategemea kutoka kwangu pia nami ndo hivyo nimekosa ramani yoyote.
*Wakuu niko tayari kufanya kazi yoyote iliyohalali,,,,, Ntafurahi kusikia kutoka kwenu Watanzania chochote kile chenye lengo la kujenga.
***Mungu awabariki Sana ***
* Ni muhitimu wa chuo ngazi ya diploma kwa masomo ya fizikia na biolojia,,, ila kutokana na eneo nililoko kukosa muamko wa elimu hivyo najikuta nikiwa nimekaa tu bila chochote Cha kufanya walau kujipatia riziki.
*Kwa upande flani naweza sema Kuna watu wengi wanategemea kutoka kwangu pia nami ndo hivyo nimekosa ramani yoyote.
*Wakuu niko tayari kufanya kazi yoyote iliyohalali,,,,, Ntafurahi kusikia kutoka kwenu Watanzania chochote kile chenye lengo la kujenga.
***Mungu awabariki Sana ***