sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,697
- 9,910
Watanzania wote kesho macho na masikio yao yatakuwa kwenye kipindi cha supa breakfast.
Kumsikiliza Kamanda Lembrus Mchome yule yule mvunja nazi kwa ugoko.
Ataendelea kueneza elimu ya demokrasia ndani ya vyama vya siasa hususani upinzani na kupinga kwa nguvu zote udikteta uchwara.