Usikopi Ndoa ya Mwezio

Usikopi Ndoa ya Mwezio

Wanawake wanene wanajikuta wanaharakati sana, namuonea huruma bro wetu nyumbani
Apo utakuta kafungua kiji-botique uchwara sinza,
Kaenda china mara 2, anavimba keshajikuta financially stable hata kuaga anaona kama sio wajibu wake
 
Usione haya anayofanya huyu mama, na wewe mwanamke ukataka uyalete kwenye ndoa yako. Utaangukia pua.

Ni wanaume wachache sana wanaweza kuvumilia huu upumbavu. Wanawake kuweni makini na hayo makongamano yunu. Financial independence yako, isiwe chanzo cha kuvunja ndoa yako.

Hii vita imekua kali wakuu. Kukaeni mezani tu, hili swala linazungumzika
 
Tumeumbwa Tofauti,

Wanaume tukiwa na pesa,
tunatafta wanawake wa kuspend nao

Wanawake wakiwa na pesa,
wanatafta namna ya kujitenga na wanaume
Nakazia. 90% ya wanaume wakipata pesa wanawaza familia (mke na watoto). 90% ya wanawake wakipata pesa wanawaza kuachana na waume zao wakaishi wenyewe huku wakitafuta wanaume wa one night
 
Back
Top Bottom