Usikopi Ndoa ya Mwezio

Usikopi Ndoa ya Mwezio

Engager

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
1,595
Reaction score
3,425
Usione haya anayofanya huyu mama, na wewe mwanamke ukataka uyalete kwenye ndoa yako. Utaangukia pua.

Ni wanaume wachache sana wanaweza kuvumilia huu upumbavu. Wanawake kuweni makini na hayo makongamano yunu. Financial independence yako, isiwe chanzo cha kuvunja ndoa yako.


 
Unatoa taarifa inamaana nyumbani Kwangu ni Kituo cha Polisi???Anashindwa hata kuipa hadhi nyumba yake,,anashindwa hata kutoa hadhi kwa Mume,,,ndoa,,,na familia yake anabaki kujisifia kushona sare,,,,kazi ipo!!!labda kama ni singo maza,,,lakini kama ni mama wa familia,,,Broo ameyakanyaga,,,labda kama na yeye anakubaliana na hayo ya huyu mke wake
 
Hapo unaweza ukakuta ndani kaweka marioo mwanaume rijali hawezi kubali huo upuuzi.
 
imenishangaza sana, kwahiyo kama uko financially independent ndo hata mume haagwi jamani,,, ila si wanawake kuna mahali hatuko sawa
 
imenishangaza sana, kwahiyo kama uko financially independent ndo hata mume haagwi jamani,,, ila si wanawake kuna mahali hatuko sawa
😀😀Yani acha kabisa nati Fulani kichwani itakuwa zinakata mawasiliano😀
 
Narudia tena wanawake ni wabinafsi sana tena usiombe awe na vijisenti
 
Hivi vishuhuri uchwara ni chanzo Cha juvunjika ndoa nyingi,mke asipochanganya na za kwake ni maafa
 
😀😀Yani acha kabisa nati Fulani kichwani itakuwa zinakata mawasiliano😀
huo ni ulimbukeni tu mi naona, kwasababu hakuna uhusiano hapo kati ya ndoa na financial independence
 
Back
Top Bottom