Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,669
- 3,314
Ukijaaliwa kupata uwezo jenga kwa kutumia tofali za simenti hizi mnaita blocks maana zinadumu dahari.
Mzee wangu alijenga miaka hiyo kwa kutumia hizi tofali za blocks saivi kashastaafu anapeta tu. Ila wenzie waliojenga kwa tofali za madongo saivi nyumba zimeshachoka hoi nyingine zimeshaegama tenge baada ya tofali kuliwa na maji na unyevunyevu wa miaka mingi.
Wajamen kijana wa leo ni mzee wa kesho tujenge kwa simenti japo kwa sasa inaweza kuonekana ni gharama kubwa. lakini unajikinga na gharama kubwa zaidi ya kutakiwa kufanya ukarabati wa jengo au kujenga tena hapo mbeleni.
Mzee wangu alijenga miaka hiyo kwa kutumia hizi tofali za blocks saivi kashastaafu anapeta tu. Ila wenzie waliojenga kwa tofali za madongo saivi nyumba zimeshachoka hoi nyingine zimeshaegama tenge baada ya tofali kuliwa na maji na unyevunyevu wa miaka mingi.
Wajamen kijana wa leo ni mzee wa kesho tujenge kwa simenti japo kwa sasa inaweza kuonekana ni gharama kubwa. lakini unajikinga na gharama kubwa zaidi ya kutakiwa kufanya ukarabati wa jengo au kujenga tena hapo mbeleni.