Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,597
- 4,661
😆😆bila shaka demu mwenye tattoo hauli mzigo!Ndio mana nikikutana na mwanamke mwenye chale mwilini mwake Ajue hata kama nlitaka mtongoza nahairisha,ikitokea sijaziona mpk tunakua wapenzi Siku tupo bed nacheza na mwili wake nikikutana na chale mahali,kesho yake nimemuacha.
staki kuelewa chale kaipata kwa kujua au kutokujua ila nikikubamba na chale mwilini mwako we dada unaesoma hii comment ujue nimekuacha kwenye mataa hata kama usiku ulikua na viuno kama samba mapangala,Nakuacha aseee.