Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
- Thread starter
- #81
Dah! Bro mbona unapenda kuzunguka zunguka, mwambie avute Bangi kisha akawachane
Chumvi amwage kuzunguka nyumba (hili jibu nadhani hakuliona)
Bangi inatakiwa uvute, ukienda kuwachana huku unanuka Bangi ile harufu yake wachawi hawaipendi
Chumvi ile ya Mawe unamwaga kuzunguka nyumba yako
Jr