Usijaribu hivi hata siku moja, shauri yako

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,082
Unaweza kujaribu hivi.jpg
 
umenikumbushsa kuna jamaa alikuwa anajifanya kuuza mawe ya kutibu ukigongwa na nyoka................ pale stand ya moshi enzi hizooo nasoma hahahah siku ya siku akamuudhi nyoka wake akamgonga mwenyewe......... lahaula kwani yale mawe yalimtibu sasa hahaha ilibidi akimbizwe hospital ya mawenzi so sometimes usijiamini asilimia 100 ukiwa karibu na hawa viumbe wa mwituni
 
Back
Top Bottom