Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
hiyo itakua midoli
Kule kwetu Ntwara hicho ni kitoweo njomba. Bhaaa!
karibuni! kwenye muendelezo wa show za jf picha duka
This is more Stupidity than braveness. Mnamkumbuka yule jamaa wa Australia "Steve" I think alikua na michezo hii na sikumoja alimuweka mtoto wake mchanga kwenye mdomo wa mamba? Nae siku yake ilipofika akawa kitoweo cha Mamba. These people never learn sometimes!
Kuna jamaa wanafuga mamba kule Bagamoyo.