Usihusishe dini na matatizo yako ya ndoa

Usihusishe dini na matatizo yako ya ndoa

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,559
Reaction score
3,812
Kuna watu wanadai ndoa za kanisani ndo zina complications nyingi na wadada wake ndo wanasumbua, wakidai jiran zetu wana make best wives.

Nasema hivi havina uhusiano.
Nyie tafuteni sababu nyingine
 
Pole kwa yaliyokukuta ila upande wa pili utabaki kuwa best
 
Ndoa bila kumtanguliza Mungu lazima iwe ndoano.
Ndoa ambayo Mungu ni kiongozi wake ina unyenyekevu, upendo na utii.
1 Korintho 13
4 Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;
5 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;
6 haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;
7 huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote.
8 Upendo haupungui neno wakati wo wote; bali ukiwapo unabii utabatilika; zikiwapo lugha, zitakoma; yakiwapo maarifa, yatabatilika.
 
Religion does not guarantee infallibility of marriage, but we can all attest to the fact that most of unhealthy marriages that go through too much troubles are Christian marriages and often it's because of trouble and strife kind of wives.

Asilimia kubwa ya ndoa zinazovunjika now days ni za kikristu na wanawake ndio wanaongoza kuzivunja.

Ukiwa mahakamani siku ya Juma tatu, kesi za taraka ni nyingi mno, na wengi wa walalamikaji ni wanawake, kati yao waislamu wachache sana.

Hii inatuonesha ndoa zinazofukuta moto ni za upande gani.

So let me reiterate my assertion, muislam women make the best wives in our society.
 
Ninyi hamtofautiani na wale wanaodai Mungu hayupo ilihali wakipata ajali kidogo au kuumwa hata kisukari tu ndiyo hao hao wa kwanza kutaja jina la Mungu kila sekunde awasaidie....daaah....kweli MUNGU NI MBABE NA HAKUNA AWEZAYE KUMKWEPA...[emoji1787]
 
Kiasi chake dini inahusika

Ndoa za kikristo huwa wanajifariji ukishaolewa hakuna kitakachowatenganisha ni kifo while ndoa za kiislam wanajua nikisumbua kuna talaka/mke wa pili na wa tatu kuongezwa
 
Back
Top Bottom