stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 18,905
- 14,674
Miili yetu hufika ukomo wa ukuaji unapofikisha miaka 35, kwa lugha rahisi mwili kua active kutengeneza cell mpya zenye ubora pia utimamu wa misuli na akili peak yake ni miaka 35, hivo basi kabla hujafika miaka 35 hakikisha unafanya mazoezi ya kutosha mbelen uko mazoezi hayana impact kubwa sana, hata wachezaji wakifika miaka 30 ni ngumu kukubaliwa kucheza professional football majeraha huchukua mda mrefu kupona na utimamu wa akili hua pungufu
www.jamiiforums.com
Kwa wale ambao bado mko chini ya 35 jitahidi sana kuzingatia mazoezi kama umri wako ni zaidi ya 35 mazoezi mepesi yanakua bora zaidi kwan mwili hurekebisha sehem chache sana, pia zingatia masaa 8 ya kulala na kupunguza ama kuacha kabisa pombe
Kama bado upo kwenye ujana, jitahidi sana kufanya mazoezi
kwa wale ambao bado mko chini ya 40, fanya vyote ila mazoezi usisahau! naongea ivi kwa huzuni baada ya kushuhudia watu wana magonjwa ambayo hospitali wanasema hauna dawa, pia issue ya kisukari ni kubwa sana usisubiri mpaka magazeti yaanze kuandika